Castr JF-Expert Member Apr 5, 2014 31,907 63,885 Jun 26, 2017 #21 Huu uzi hauna mashiko, hamna ukweli hapo. Hata mabasha hua wanabembeleza ofa pia. Niko kwenye uhusiano na single mom ana mtoto wa kiume, niko benet na dogo so mi ni choko? Huwezi kua serious.
Huu uzi hauna mashiko, hamna ukweli hapo. Hata mabasha hua wanabembeleza ofa pia. Niko kwenye uhusiano na single mom ana mtoto wa kiume, niko benet na dogo so mi ni choko? Huwezi kua serious.
Mitha JF-Expert Member Jun 26, 2016 704 1,007 Jun 26, 2017 #22 salthanks said: Alikuwa busy ana operate smelter ya acacia Click to expand... Heshima yako mkuu
cesilia JF-Expert Member Jul 11, 2015 1,233 1,243 Jun 26, 2017 #23 Mr noble said: Mwandiko unaonesha hauko serious na hoja yako ndo mana unachapia sana.... Infact kuna magay wawil mlaji na mlwaji we umemzungumzia yupi? Click to expand... maana wote ni wahanga wa tatizo
Mr noble said: Mwandiko unaonesha hauko serious na hoja yako ndo mana unachapia sana.... Infact kuna magay wawil mlaji na mlwaji we umemzungumzia yupi? Click to expand... maana wote ni wahanga wa tatizo
C Chenchele JF-Expert Member Dec 27, 2016 1,937 2,420 Jun 26, 2017 #25 Maanaume mpaka uingie huku basi fyuzi wewe huna kabisa
C Chenchele JF-Expert Member Dec 27, 2016 1,937 2,420 Jun 26, 2017 #26 Ulaya bila aibu Waziri mkuu ni shoga hadharani aisee bora kuzaliwa boya Tanzania kuliko Billionea UK
jerrytz JF-Expert Member Oct 10, 2012 5,960 4,209 Jun 26, 2017 #27 Kautafiti kengine haka huku.......
Fundisanifu JF-Expert Member Nov 3, 2016 515 625 Jun 26, 2017 #28 Hizi tafiti hizii.. Mkuu uli observe au ku participate?
punzumagulu Senior Member Apr 14, 2017 100 66 Jun 26, 2017 #29 Ulishajenga nyumba yako kamanda? UNAWAJUWAJE
TASMANIA JF-Expert Member Jun 7, 2013 656 723 Jun 26, 2017 #30 Wanapenda sana kujifanya washauri wazuri wa maisha.
Mahondaw JF-Expert Member Apr 9, 2013 61,736 155,551 Jun 26, 2017 #31 Wali waliwa yakheee Cc Smart911
Ndumbayeye JF-Expert Member Jan 31, 2009 7,333 3,896 Jun 26, 2017 #32 ukimjambisha paaaaaam lazima aruke juu