Kwa mfano wewe ndio ungekuwa IT NECTA halafu ukandaa bajeti ya kuweka server zenye high performance ila jibu likaja negative kwenye hiyo bajeti uliyoomba, je wewe kama wewe ungefanyaje?
kwani wakati watu wana apply loan board ilikuwaje, mbona walikuwa wanalalamika kuwa hata usiku wa manane system ilikuwa inasumbua. hao nao vipi, ni kwamba system nyingi za hapa kwetu huwa haziwezi kuhudumia watu wengi kwa wakati mmoja.
Kwa hiyo unahisi wewe peke yako ndio unaweza kuvizia usiku, facebook ni kitu kingine kabisaaaa, huwezi linganisha hapoo, hilo ni kosa, hapo unafanya uonevu mkubwa sana kulinganisha hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.