gwankos
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 323
- 420
Ni wakati sasa kuacha kuwekana ndugu katika ofisi huku mnao weka hawana uwezo na hizo kazi ki ukweli It department ya hapo NECTA hawafanyi kazi vilivyo server inakuwa busy kiasi kwamba watu wanashindwa kupata matokeo..... vijana tumesoma IT na mambo kama hayo ni rahisi kuyatatua yaani ni sawa na kusukuma mlevi lkn kutokana kujazana ndugu na wasio na taaaluma hiyo ndio maana mna aibiki.....IT sio matako kila mtu anayo hiyo ni professional ya kuheshimu sasa sijui server zenu siku mkitumiwa vrs sijui sipo secure kiasi gani.....