mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
website nembendembe
mkuu acha kutetea vitu vya hovyo, mimi baada ya kuona hayafunguki nimeamka saa nane usiku hakuna kitu website halifunguki mpaka sasa nimejaribu hakuna kituSio kwamba imedukuliwa la hasha, ni kwamba watu walipopata taarifa kuwa matokeo yametoka basi watu wote wakaanza kuifungua hiyo website ili waweze kuangalia hayo matokeo, sasa kinachotokea ni kwamba website inazidiwa uwezo wa kutoa huduma kwa watu wengi kwa wakati mmoja ndio maana unaona ukijaribu kuingia kwenye hiyo site unapata huo ujumbe. walichotakiwa kufanya hao jamaa ni kuyaweka hayo matokeo sehemu tofauti tofauti, mfano wangeweza kuweka na kwenye website ya wizara ya elimu, ili kupunguza idadi ya watu.
sasa mkuu hapo nimetetea nini, hiyo issue inayotokea kwa necta hata kwenye vyuo vyetu huwa inatokea pindi wakitoa matokeo.mkuu acha kutetea vitu vya hovyo, mimi baada ya kuona hayafunguki nimeamka saa nane usiku hakuna kitu website halifunguki mpaka sasa nimejaribu hakuna kitu
Hadi usiku wa manane? kumbe watu hawalali?Sio kwamba imedukuliwa la hasha, ni kwamba watu walipopata taarifa kuwa matokeo yametoka basi watu wote wakaanza kuifungua hiyo website ili waweze kuangalia hayo matokeo, sasa kinachotokea ni kwamba website inazidiwa uwezo wa kutoa huduma kwa watu wengi kwa wakati mmoja ndio maana unaona ukijaribu kuingia kwenye hiyo site unapata huo ujumbe. walichotakiwa kufanya hao jamaa ni kuyaweka hayo matokeo sehemu tofauti tofauti, mfano wangeweza kuweka na kwenye website ya wizara ya elimu, ili kupunguza idadi ya watu.
kwani wakati watu wana apply loan board ilikuwaje, mbona walikuwa wanalalamika kuwa hata usiku wa manane system ilikuwa inasumbua. hao nao vipi, ni kwamba system nyingi za hapa kwetu huwa haziwezi kuhudumia watu wengi kwa wakati mmoja.Hadi usiku wa manane? kumbe watu hawalali?
Tatizo ni lao, hakuna namna wanaweza kukwepa. Hivi ni watu wangap wana access website mbalimbali za dunia kwa sekunde na hakuna shida? Lets say Facebook, japo hii ni system, lakini wasikatae they are very weakSio kwamba imedukuliwa la hasha, ni kwamba watu walipopata taarifa kuwa matokeo yametoka basi watu wote wakaanza kuifungua hiyo website ili waweze kuangalia hayo matokeo, sasa kinachotokea ni kwamba website inazidiwa uwezo wa kutoa huduma kwa watu wengi kwa wakati mmoja ndio maana unaona ukijaribu kuingia kwenye hiyo site unapata huo ujumbe. walichotakiwa kufanya hao jamaa ni kuyaweka hayo matokeo sehemu tofauti tofauti, mfano wangeweza kuweka na kwenye website ya wizara ya elimu, ili kupunguza idadi ya watu.
hahhahahhahahahahhWanamchosha Rais. Inawezekana hawajui kile anachokitaka Rais wetu.
yaaan majanga matupu wabsite hazifunguki halafu zikifunguka shule zenyewe hawajapanga katika Alphabet order, unaweza shangaa unatafuta shule wiki 2 hujaona hahhahhaha fully vituko!!Habari Wandugu
Ni matumaini yangu mu wazima.
Ni jana tarehe 08/01/2018, baraza la mitihani la taifa lilitangaza matokeo ya upimaji ya kidato cha pili na darasa la nne. Mimi pia nikiwa ni mdau wa elimu, nikaona vyema niingie kwenye website yao niangalie maendeleo ya vijana wetu. Jambo la kushangaza tangu jana majira ya saa kumi jioni mpaka sasa naandika uzi huu sijaweza kuingia kwenye website ya NECTA. Majibu ni "the site you are requesting can't be reached". Maana yake nini; yawezekana website hii ipo katika marekebisho au imedukuliwa na kufungiwa na washenzi.
Hii ni aibu kwa wataalam wa IT wa taasisi hii. Wanajisikia je Watanzania wanapohangaika ku-access website yao. Kama hampo vizuri kwenye IT security ni bora kuleta watu wenye uwezo mkubwa ili kupambana na changamoto za IT. IT si lelema, inabidi kuwa current haswa kwa sababu hizi ndizo zama zake, kila siku kuna mbinu na utaalam mpya. Sasa kama nyinyi mmejifungia tu huko maofisini na kula viyoyozi mtateswa na hackers.
Ni bora nimesema kuliko kubaki na maumivu.
labda wanatumia server moja serikani nzima, wanapeana zamu🙂🙂🙂🙂Hili tatizo hata website ya jkt ni hivyo hivyo yani yakitoka majina ya vijana wa kujitolea inaweza maliza siku hata nne haifunguki....sijui website za serikali zina shida gan
Usilinganishe server ya FB na na server za kijinga jinga ni aibu server inakuwa na uwezo mdogo alafu sio hiyo tu zipo nyingi sana za jamuhuri zina matatizo hayoSidhani kama unachosema ni kweli. Mwanzo nilidhani hivyo, nikajipa kazi kuvizia usiku muda ambao nilijua hata kama ni jam basi itakuwa imeisha lakini tatizo lipo pale pale. Hata kama hiyo ingekuwa ni sababu bado ni IT ya ubabaishaji. Wewe unafikiri ni watu wangapi wanaingia facebook kwa sekunde moja?
Duuuh ndug yang umeongea jamb zuri lakin umeshindwa kukumbuka wakati.Sio kwamba imedukuliwa la hasha, ni kwamba watu walipopata taarifa kuwa matokeo yametoka basi watu wote wakaanza kuifungua hiyo website ili waweze kuangalia hayo matokeo, sasa kinachotokea ni kwamba website inazidiwa uwezo wa kutoa huduma kwa watu wengi kwa wakati mmoja ndio maana unaona ukijaribu kuingia kwenye hiyo site unapata huo ujumbe. walichotakiwa kufanya hao jamaa ni kuyaweka hayo matokeo sehemu tofauti tofauti, mfano wangeweza kuweka na kwenye website ya wizara ya elimu, ili kupunguza idadi ya watu.