Recent content by pulupu

  1. P

    Naomba ushauri: Ninapata Maumivu makubwa juu ya kifua, mgongo, mbavu na shingo

    Tangu 2018 nilianza kusikia maumivu ya kifua nikaenda hospital nikafanya x ray wakasema Early stage of intestinal lung disease nikapewa dawa lakini maumivu yaliendelea. Nikarudi tena kwa muda tofauti nikafanya x ray 2 kwa nyakati tofauti tatizo wakasema ni pneumonia nikatumia dawa nyingi lakini...
  2. P

    Swali tata nililoshindwa kulipata jibu lake

    muulize huyo ambaye anakufanya uishi ndiye anayejua sababu
  3. P

    Bodi ya Pamba: Mfano wa kuigwa Duniani

    ndio nini
  4. P

    Jinsi tabia ya mtu inavyobadilika akianza kutumia JF (JamiiForums)

    kweli bila kusahau waanzilishi JF wameshapelekwa kisutu lakn FB wala !!!!!
  5. P

    Starlet Glanza iliyomtesa mwanangu

    inatufundisha nini story yako ?
  6. P

    Mjue Nguruwe/Kitimoto: Mnyama mwenye utata zaidi

    hahaha anapata hedhi,huyu binadamu
  7. P

    MAUAJI DAR: Maiti tatu zadaiwa kuokotwa ufukweni Coco Beach

    vijana wengi mtaani wanapotea na ndugu zao wanafuatilia hospital,vituo vya polisi lakini hawaonekani nani anawachukua na serikali ipo wapi ?
  8. P

    Mzee Jumbe ausia asizikwe Kiserikali

    inna lillah wa inna illah rajiun
  9. P

    Kampuni ya bima iitwayo Astra wapiga bilioni 6

    Yatageuka Kuwa mazombi tukakimbiana
  10. P

    Siutaki tena mwezi wa kimataifa. Eid Mubaraq

    Kaa kimya hii ni dini waachie wenye elimu utakufuru
  11. P

    Siutaki tena mwezi wa kimataifa. Eid Mubaraq

    Mbona hakuna Aya wala hadith japo dhaifu inayosapoti hayo maneno yako
Back
Top Bottom