Nimesoma sehemu baadhi ya majukumua ambayo zito na Kamati yake wanatakiwa kuyatekeleza katika kipindi hichi kifupi kama mkutano na ewura na kesho tuko na tanesco keshokutwa AG, Tra chief, gavana bot wanakuja kuhojiwa na PAC kuhusu mabilioni ya uswisi nikaona kamati ya PAC itapwaya sana bila ya...
Naomba kuelekezwa wapi nitapata daktari wa magonjwa ya Mgongo nipo DSM nasumbuliwa na matatizo ya mgongo wa chini(Lower Back) na pia kama kuna mwenye ushauri nitashukuru kwa msaada pia
Nipo jengo flan hapa Dsm umekuja upepo wenye nguvu mbaya kabisa ghafla mvua kubwa imeanza kunyesha kama mamlaka ya Hali ya Hewa ilivyotabiri wale wa mabondeni jamani muhame Serikali ya Mkoa ilishasema haitawasaidia this time na mimi kwa niaba ya wananchi na sema hatutawasaidia cause mmeshaambiwa...
Naomba kwa anayefahamu wapi kwa Dar es Salaam au Arusha naweza kupata msaada wa kutaftiwa simu yangu iliyoibiwa, Nimeambiwa hiyo kitu inafanyika now, ni smart phone Nokia lumia na nakumbuka IMEI number zake.
Any body with informations from Sumatra on the the post they advertised at the end of 2013 please help, I heard that their calling candidates, is it for oral or written interview any body with the informations.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.