Kwani nani aliyesema tunataka support yenu ? Nyinyi si ndio mliita press conference kuwa tuwe kitu kimoja ilhali nyinyi ndio vinara wa kupokea timu pinzani.
Tukiyasema haya mnapokea timu pinzani, wenzako wanakataa, tazama huko juu pumba walizokuwa wakitema.
Kwahiyo mlikuwa sahihi mlichokifanya ? Hivi mpaka Raisi wa TFF akemee bado utasema mipango ya ndani ni kuwa kitu kimoja ???
Kweli Yanga wenye akili wawili tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.