Recent content by Psychoanalysis

  1. Psychoanalysis

    Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

    Ndio umeandika nini sasa, nakuja Zanzibar kula nitakula ole wake anishike mtu.
  2. Psychoanalysis

    Ni ahadi zipi zilitolewa na kiongozi wako ambazo hazijatekelezwa mpaka sasa?

    Watu waliweka ahadi za kupigwa bun, lakini nyinyi mmeshindwa kutimiza. Kwahiyo nyinyi ni wa kwanza kwenye jambo hili
  3. Psychoanalysis

    Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

    Kwani nani aliyesema tunataka support yenu ? Nyinyi si ndio mliita press conference kuwa tuwe kitu kimoja ilhali nyinyi ndio vinara wa kupokea timu pinzani. Tukiyasema haya mnapokea timu pinzani, wenzako wanakataa, tazama huko juu pumba walizokuwa wakitema.
  4. Psychoanalysis

    Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

    Bora hata wewe umekili, siyo kama wenzako huko juu wanakataa
  5. Psychoanalysis

    Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

    Kwahiyo mlikuwa sahihi mlichokifanya ? Hivi mpaka Raisi wa TFF akemee bado utasema mipango ya ndani ni kuwa kitu kimoja ??? Kweli Yanga wenye akili wawili tu
  6. Psychoanalysis

    Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

    Na vipi pale Raisi wa TFF alipozionya timu zinazopokea wapinzani alikuwa muongo au ?
  7. Psychoanalysis

    Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

    Yani unasema propaganda wakati video na picha zipo, kuna mtu kaweka video juu hapo mkipokea mashabiki ni uwongo huo ??
  8. Psychoanalysis

    Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

    Pamoja na kuwawekea video watasema ni propaganda
  9. Psychoanalysis

    Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

    Mliwahi omba radhi kwa hili ?
Back
Top Bottom