ok nakusifu umetoa mtazamo wako kwa poits zinazoeleweka, but acha kuangalia watu walio karibu yako tu angalia wananchi wa kijijini pia wanaoishi chini ya dola moja kwa siku. so vocha ya jelo wiki nzima, kwa hayo unategemea nini?
Hivi wabongo mchezo gani utatutoa kimataifa? coz boll ndo hivyo majanga tu.nikumbusheni jamani mchezo gani huwa tukishiriki unatutoa faster. au tuwekeze mchezo gani? ili tuondoe haya majanga ya kufungwafungwa ka mlago wa toilet?
hii ndo top 5 ya wanahiphop itakayodumu milele bongo
fid. q
mwana fa
jay mo
nikki wa pili
stamina
toa mtazamo wako unaikubali list hii kwa asilimia ngapi? je nani hafai kuwepo?NOTE;
"CHUKI BINAFSI HAZIHUSIKI"
jamani msishangae sana kuona hivyo, cause tabia ya mtu ni kama ngozi au kivuli chake so mchukulieni poa kwani mwenyewe anajiita kipenzi or sukari ya warembo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.