Kama ni kweli Mungu awe pamoja nao maana walikuwa wazalendo wakazi yao kweli kweli. Yan unaona kifo hiki apa lakini unarudi ndani kupambana wawengi huu ni uzalendo mkubwa sana.
Hawa wadada embu wajitokeze waeleze waondoe utata maana binafsi najua wamefariki embu wajitokeze tupate mashujaa wa kike
Ila kwa ujumla wavuvi waliuliga mwingi, kongole kwao.
Ukwel anaujua Muumba... kama maji yalianza kuingia kwa rubani je walikuwa wanawasiliana nae vipi? Maana mkuu wamkoa alisema wanazungumza na rubani yupo salama? Na mtu aliemkataza majaliwa achane na rubani alimwambia maji hayaingii kwa kasi upande wa rubani? Ivyo aache. Maswali ni mengi
Na...
Hostess yupo wapi sa hii
Ni kweli huenda alipambana kufungua mlango lakini kwa force ile ya maji ndani na nje mlango ungefunguka kweli? Nahic apa ndipo majaliwa alipochukua credit baada ya mlango watu wandani walivyo kuwa wanapambana kufungua yeye ndipo akaumalizia kwa njee
Kwa uelewa wangu mdogo, iko ivi MAJALIWA alisaidia mlango kufunguka huku watu waliokuwa ndani ya ndege nao wakipambana kufungua (maana sidhani kama wangeweza kufungua wenyewe na forc me ya maji yaliopo ndani nanjee) hivyo alivyo fanikiwa kupamiza mlango na kufunguka kwa vile alikuwa na wenzie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.