Hiyo haina kikomo na speed haipungui, mimi ninayo miaka inakaribia mitatu sasa nilichukua 30Mb/s. Tunashea watu kama 5 hivi na kwa mwezi tunatumia mpaka 4TB bila mkwamo wowote
Mpaka sasa makampuni makubwa ya simu yana code hizi
Vodacom 0741-0749, 0751-0759, 0761-0769
Airtel 0781-0789, 0681-0689, 0691-0699
Tigo(Yas)m 0710-0719, 0651-0659, 0671-0679
Halotel 0620-0629, 0611-0619
TTCL 0731-0739
Pole sana kwa uliyopitia, ila nafurahi kusikia kwamba kwa sasa upo na una furahi. Changamoto ni sehemu ya maisha. Napenda nijue umri wako kwa sasa na sehemu ulipo na ikiwezekana njoo DM tujuane vizuri tuweze kushauriana mambo ya hapa na pale.
GB 50 kwa Mwaka? Mbona hilo bando la siku moja tu na kama likizidi siku ya pili halimalizi.
Mimi natumia Voda 5G unlimited kwa gharama ya 120 kwa mwezi. Natumia zaidi ya 1TB kwa mwezi. Sasa hivi nina mwaka nimeangalia matumizi yangu ni 14TB tangu nijiunge
Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja. Nimevumilia sana ila nimeshindwa, napenda kujua uhusiano ulipo kati ya Bongo FM na TBC kwa sababu mic ya Bongo FM zina stika ya TBC.
Je, ni tawi la TBC au ni kampuni binafsi TBC ana hisa zake? Mwenye kujua anijuze
Kwa nini tunafadhaika mioyoni mwetu? Tuziamini timu zenu tujiamini na sisi mashabiki. Timu zetu ni bora sana kama isingelikuwa hivyo zisingefuzu robo fainali
Kuna wapenzi wa Simba wanaamini kwamba Yanga kupangwa na Mamelodi Sundowns hawatafika nusu Fainali. Kwangu mimi naona Mamelodi ni mwepesi kuliko Al Ahly. Kwenye hatua za mtoana Al Ahly anakuwaga wa moto kuliko kwenye magroup.
Simba ndiyo ana wakati mgumu kuliko Yanga. Yanga anavuka hatua hii na...
Ipo namna hii, watu wanasoma diploma sio kwamba wamefeli form 4 hapana. Mtu anaamua au anashawishiwa kwenda Diploma ili aajirike kirahisi. Kama inavyojulikana mahitaji mengi kwenye ajira ni diploma kuliko Bachela. Kwa hiyo anasoma Diploma na Bachela, Kazi anaombea Diploma akithibitishwa kazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.