Recent content by Protace Magesa

  1. P

    TANZANIA: Hujuma za CCM Zazidi Kutesa Wana Kyerwa

    Imetosha hakika wanakera!!
  2. P

    Magaidi wavamia kijiji cha Msolwa Ujamaa, Kilombero

    Tunashukuru kwa habari Ndugu!! Hao ni vema unapohisi tofauti MTU tengeneza ulinzi kwanza hatakwakumbananisha na wenzako Wa karibu ikiwezekana ita kabisa police;!
  3. P

    Nguzo 5 imara za CHADEMA hizi hapa!

    Kila lililojema huwa limebarikiwa na Bwana !! Endeleeni kwenda mbele kwa kubuni nia yenu na yetu ifanane ili watu watanzania tujikwamue na uonevu , umasikini na unysng'anyi Wa lasiliamali zetu kwa vigogo wanaoihujumu nchi yetu Tukufu iliyobarikiwa , jitahidini walau tupate kupumua na democracy...
  4. P

    Msajili wa Vyama vya Siasa: Nitavifuta CHADEMA na CUF

    Kikubwa imani ya mabadiliko ya uongozi , ccm hamna demokrasia kwa nini mnaruhusu vyama vingi huku mkivibana visipate nafasi ya kuongoza ? Chadema nyie komaeni Mungu yu nasi siku moja tutafanikiwa kuingia Ikulu!! Umoja wetu do mafanikio yetu kuingia ikulu na dola
  5. P

    Kifo cha CCM kimetimia

    Mungu ni Mwema naamini hatatuachia machungu ya namna hii yaendelee kutuathiri yaani kuongoza nchi kwa kuendekeza kushikilia mafisadi, hongo zilizozidi ktk kila kitengo, kuhonga lasiliamali za nchi kwa kuendekeza uhuni na utajiri binafsi, Raisi kuhudhuria safari za nje kwa kuendekeza kuombaomba...
  6. P

    Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

    Mliohongwa na kupewa dose na ccm mwisho Wa kuhongwa na kuhonga resources zetu ndo mwisho
  7. P

    ACT Tanzania: Nani yuko nyuma ya hiki chama?

    Masilahi binafsi yanawasumbua mnalazimika kuanzisha vyama!! Manyang'au wakubwa!! Demokrasia mwaijua au mmepandikizwa ili muwe vibaraka wazuri!! Miaka ya nyuma vibaraka walikuwa Wa wazingu sikuhizi kuna vibaraka wa chama!! Mtakoma !!
  8. P

    Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

    Tumpeni Dr. Slaa walau tuone km kuna mabadiliko ktk uongozi make vyama vinaanzishwa havipewi fursa ya kuongoza !! Ina maana gani basi? Tukibahatika kuondoa ufisadi tutakuwa tumefanya mapinduzi ya kweli#! Hakika hatutalalamika juu ya matumizi mabaya ya resources.
  9. P

    Tamko Rasmi la Wanafunzi wa Vyuo vya Dodoma

    Tunawalaumu wazungu lkn sasa hapana, msomi kununuliwa na elimu yake tena degree na mkulima sasa hana ishu pia msomi hana ishu km ndo hivi tamaa za kivyama!! Jitambueni na mbutuke!!
  10. P

    Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake wawili

    We Mungu Baba okoa kizazi hiki kwani ufahamu uliotukelimia sasa tumegeuka km wanyama , Tunskushukuru kwa kutupatia huo ufahamu ole wao waendao kinyume , bb tuokoe!! Wazazi Wa namna hii watandikwe viboko hadharani mtaani na kwenye vyombo vya habari TV!! Inauma na inakera.
  11. P

    MwanaJF mwenzetu kavamiwa na wezi na kukatwa katwa Mapanga

    Poleni sana ! Mungu Baba akuponye na akuongezee maarifa ufanikiwe maradufu nawe umtumikie kwa namna moja ama nyingine !!
  12. P

    CHADEMA kususia kuhudhuria mkitano mkuu na uzinduzi wa ACT-Tanzania

    Vyama ndivyovinavyoiua Tz yetu , kwani wanatumia mabilioni mengi kukiendesha chama pamoja na utapeli na ufisadi,. Nimeisha sema wazungu hawana nia njema na sisi waTz. Mnaishobokea mifumo ya multiparty lkn mungejua sidhani km mungekuwa na mavyama yenu hayo kila siku!! Wamemchomoa juzi kutoka...
  13. P

    Kifo cha CCM kimetimia

    Siwezi kupima IQ ya akili zako ila unavoonekana unamapungufu ktk kufikiri na ndomaana unalinganisha huluka za kibinadamu uchafu na utakaso yaani kiroho!" Heshimu sana imani, baada hapo waweza kujibu kivyovyote !""""
  14. P

    Kifo cha CCM kimetimia

    Usirudie kulinganisha uozo uliojaa ufisadi na uonevu wakinyama usiokuwa na aya mbele za mwanadam na Mungu Baba kwa ujumla na kuulinganisha na maswala ya kiroho hata km ulikuwa na nia nzuri usirudie unaweza ukajikuta unatenda dhambi kwa kutokujua sasa nimekuondolea huo ujinga be aware , kanisa ni...
Back
Top Bottom