Tunashukuru kwa habari Ndugu!! Hao ni vema unapohisi tofauti MTU tengeneza ulinzi kwanza hatakwakumbananisha na wenzako Wa karibu ikiwezekana ita kabisa police;!
Kila lililojema huwa limebarikiwa na Bwana !! Endeleeni kwenda mbele kwa kubuni nia yenu na yetu ifanane ili watu watanzania tujikwamue na uonevu , umasikini na unysng'anyi Wa lasiliamali zetu kwa vigogo wanaoihujumu nchi yetu Tukufu iliyobarikiwa , jitahidini walau tupate kupumua na democracy...
Kikubwa imani ya mabadiliko ya uongozi , ccm hamna demokrasia kwa nini mnaruhusu vyama vingi huku mkivibana visipate nafasi ya kuongoza ? Chadema nyie komaeni Mungu yu nasi siku moja tutafanikiwa kuingia Ikulu!! Umoja wetu do mafanikio yetu kuingia ikulu na dola
Mungu ni Mwema naamini hatatuachia machungu ya namna hii yaendelee kutuathiri yaani kuongoza nchi kwa kuendekeza kushikilia mafisadi, hongo zilizozidi ktk kila kitengo, kuhonga lasiliamali za nchi kwa kuendekeza uhuni na utajiri binafsi, Raisi kuhudhuria safari za nje kwa kuendekeza kuombaomba...
Masilahi binafsi yanawasumbua mnalazimika kuanzisha vyama!! Manyang'au wakubwa!! Demokrasia mwaijua au mmepandikizwa ili muwe vibaraka wazuri!! Miaka ya nyuma vibaraka walikuwa Wa wazingu sikuhizi kuna vibaraka wa chama!! Mtakoma !!
Tumpeni Dr. Slaa walau tuone km kuna mabadiliko ktk uongozi make vyama vinaanzishwa havipewi fursa ya kuongoza !! Ina maana gani basi? Tukibahatika kuondoa ufisadi tutakuwa tumefanya mapinduzi ya kweli#! Hakika hatutalalamika juu ya matumizi mabaya ya resources.
Tunawalaumu wazungu lkn sasa hapana, msomi kununuliwa na elimu yake tena degree na mkulima sasa hana ishu pia msomi hana ishu km ndo hivi tamaa za kivyama!! Jitambueni na mbutuke!!
We Mungu Baba okoa kizazi hiki kwani ufahamu uliotukelimia sasa tumegeuka km wanyama , Tunskushukuru kwa kutupatia huo ufahamu ole wao waendao kinyume , bb tuokoe!! Wazazi Wa namna hii watandikwe viboko hadharani mtaani na kwenye vyombo vya habari TV!! Inauma na inakera.
Vyama ndivyovinavyoiua Tz yetu , kwani wanatumia mabilioni mengi kukiendesha chama pamoja na utapeli na ufisadi,. Nimeisha sema wazungu hawana nia njema na sisi waTz. Mnaishobokea mifumo ya multiparty lkn mungejua sidhani km mungekuwa na mavyama yenu hayo kila siku!! Wamemchomoa juzi kutoka...
Siwezi kupima IQ ya akili zako ila unavoonekana unamapungufu ktk kufikiri na ndomaana unalinganisha huluka za kibinadamu uchafu na utakaso yaani kiroho!" Heshimu sana imani, baada hapo waweza kujibu kivyovyote !""""
Usirudie kulinganisha uozo uliojaa ufisadi na uonevu wakinyama usiokuwa na aya mbele za mwanadam na Mungu Baba kwa ujumla na kuulinganisha na maswala ya kiroho hata km ulikuwa na nia nzuri usirudie unaweza ukajikuta unatenda dhambi kwa kutokujua sasa nimekuondolea huo ujinga be aware , kanisa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.