Recent content by Promise Land

  1. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Yesu atakaposhuka duniani atashuka huku ameketi kwenye kiti cha dhahabu

    Naona mbengo zinafunguka, sema hallelujah 🤣🤣
  2. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Yesu atakaposhuka duniani atashuka huku ameketi kwenye kiti cha dhahabu

    Kwanza jifunze kuandika na kuhariri maandishi yako kabla ya kuyapandisha mtandaoni. Pili tafuta maarifa mwenyewe, usitegemee sana mawazo ya mtu mwingine, biblia imeandika namna Yesu atakavyokuja na hivyo huna sababu ya kutegemea mtu mwingine akuhubirie tu.
  3. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa humu mna dharau sana

    Tunajieleza sana kwenye interview na kwenye kazi huko na huku tuanze tena? Kama unatoa we toa tu, hutaki basi kitunze
  4. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Pesa tena? Tunafanya uwekezaji?
  5. Promise Land

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORMS NO ELECTION
  6. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje nipo KATAA NDOA lakini nataka mtoto nianzie wapi?

    Yaani hapo unaomba ushauri wa nini sasa? Wanawake huwaoni? Au unataka kujibebesha mimba mwenyewe?
  7. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Siku kama ya leo miaka miwil iyopita MUNGU aliamua kuwafuta MACHOZI WATANZANIA baada ya MATESO ya miaka 7. Ukawa mwisho wa wasiojulikana, Kutekwa, kubambikiwa kesi, kufilisiwa na MAITI kukutwa kwenye VIROBA ufukweni. Mliopo sasa, tambueni Wenye NCHI ni WANANCHI. Na pia MUNGU yupo.
  8. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Mabango ya kusifu utumishi wa viongozi (Samia & Magufuli)

    Maendeleo! Vilio vya ugumu wa maisha vinasikika kila Kona ya mitaa ya nchi hii wewe unasema maendeleo? Yapi hayo embu yaainishe hapa, tozo +tozo+tozo vitu bei juu, bado unimba kwaya na ngonjera za aina ileile?
  9. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mwalimu sitaki mwanangu afundishwe hesabu za kukopa.
  10. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Hataki uhusiano na mimi ila bado ananitafuta

    Violence hii unaitafuta
  11. Promise Land

    JamiiForums Tanzania Wanachofanya CHADEMA, NCCR, CUF, ACT, UDP nk ni kampeni

    Kuna uchaguzi kumbe?
  12. Promise Land

    JamiiForums Tanzania 17 Marhkila mwaka ni siku muhimu kwa Watanzania kukumbuka kifo cha Hayati Magufuli

    "Wanyonge" ni watu wa namna gani hawa? Hata maandiko yamesema kinyonge hakitaingia katika urithi wa milele, wamelaaniwa wote waishio kwenye kivuli cha unyonge.
Back
Top Bottom