Recent content by Professor Heichi

  1. P

    Phone4Sale Samsung Galaxy s8 inauzwa

    Tatizo ni laini 1, ugumu wa mambo unaanzia hapo.
  2. P

    INAUZWA Phone Enlarger inauzwa

    Kuza basi alafu utuwekee tuone ndo tushawishike
  3. P

    Mke wangu ananisimulia akitongozwa

    Wewe kuna siku utazimia
  4. P

    Miaka 35 unaweza kuendelea kutafuta kazi?

    Kweli mkuu. Tuendeleze mapambano pengine siku moja Mungu atatufungulia
  5. P

    Miaka 35 unaweza kuendelea kutafuta kazi?

    Kweli mwanasiasa huwa hariziki
  6. P

    Miaka 35 unaweza kuendelea kutafuta kazi?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. P

    Miaka 35 unaweza kuendelea kutafuta kazi?

    Wakuu kama ni saa ndo inaenda hivyo kuelekea 12 jioni. Mwaka 2024 natimiza miaka 35. Nauliza kwa umri huu ni busara kweli kuendelea kutafuta ajira au ndo nitakuwa nimeumaliza mwendo kwenye suala zima la kuajiriwa?? Kwakweli nimepambana kwa kila namna. Mpaka ilifika hatua nikaweka dau mtu...
  8. P

    Car4Sale Ukiipenda hii Vitz, njoo hapa Sinza na Milioni 3

    Bingwa Mara 4 weka harrier old model ulizo nazo hapa
  9. P

    Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

    Brother ako ana akili sana aisee
Back
Top Bottom