Wakuu kama ni saa ndo inaenda hivyo kuelekea 12 jioni.
Mwaka 2024 natimiza miaka 35. Nauliza kwa umri huu ni busara kweli kuendelea kutafuta ajira au ndo nitakuwa nimeumaliza mwendo kwenye suala zima la kuajiriwa??
Kwakweli nimepambana kwa kila namna. Mpaka ilifika hatua nikaweka dau mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.