Lowassa kipaumbele chake cha kwnz pili na tatu kilikw Elimu Elimu Elimu.
Yule mwngne ilkw ni kufungua mahakama ya mafisad na kuanzisha viwanda.
So tutaisoma namba kweli kweli.
Lowassa kipaumbele chake cha kwnz pili na tatu kilikw Elimu Elimu Elimu.
Yule mwngne ilkw ni kufungua mahakama ya mafisad na kuanzisha viwanda.
So tutaisoma namba kweli kweli.
Inauzi sana,watu tumehangaika kuipigia debe ccm halafu bodi inakuja na ubaguzi wa kutoa mikopo.hii si haki.
Yaan kumbe ulishabikia Fisiem afu unakuja lalamika hapa.
Kwnz hayo majina nimetafuta kila link hamna sa sijui yapo wap!!? Kumbe sheria ya mtandao inapaswa kufanya kazi maana watu wanapotezea wengne mda bure tu kw taarifa za uongo.
Hakuna cleverbright ambae mpk karne hii bado anashabikia CCM tu!!! Ni bora ukae kimya sio kushabikia CCM ambayo miaka 50 sasa haina lolote jipya.!! Shit.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.