Jeshi la police ni sehemu ya jamii yenye kuhakikisha usalama wetu so Serikali ni muhimu sana kuwepo kwetu.
Kinachotakiwa ni Serikali kufanya kwa uhakika na jambo lao.
Nimekupata sana,
Inatakiwa wahusika wakubwa wakamatwe maana kazi hii ilianza zamani sana kwa uadilifu wa Serikali yetu ifanyekazi kwa weledi wote iwakamate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.