jamani Mungu awabarikini wote mnaotujali na kufatilia kwa faida ya wote wasio na kazi,kwangu mm naona ni upendo mkubwa sana maana mpaka mtu akueleze kinachoendelea ni upendo,wengine hata wajue hawawezi kuambia wenzio.wote Mungu atawazidishia kadri mnavyohitaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.