Recent content by priscilla

  1. P

    Kama unatafuta kazi jaribu kuingia hapa inaweza kukusaidia

    huyu ni member wa fmns nn?maana hamna jipya kila siku wazzub wazzub upumbavu gani huu?
  2. P

    Tanapa kulikoni!!!

    ma dragon siku zote kwenye jamii hawakosekanagi,mnafikiri kukatisha watu wengine tamaa ndo Mungu kashindwa,hlo halipo na haitakuwepo
  3. P

    diamond international trade co ltd

    hahahahahaaha mla mbivu
  4. P

    For sale carrier 30gtn 110 ton chiller units

    @obinna hahahahahahhaha
  5. P

    Secretary cum Customer service.

    i wish hii post ingekua ni arusha,bt nawatakia kila la heri kwa atakayepata.
  6. P

    Tanapa

    @mafuluto mi cjasema nasubiri post ya porini,Mungu mahali ppte atakaponipangia naenda.
  7. P

    Tanapa

    @umenena hakika nasubiri
  8. P

    Tanapa

    @idd@deo lets hope Mungu atatutetea
  9. P

    Tanapa

    jamani Mungu awabarikini wote mnaotujali na kufatilia kwa faida ya wote wasio na kazi,kwangu mm naona ni upendo mkubwa sana maana mpaka mtu akueleze kinachoendelea ni upendo,wengine hata wajue hawawezi kuambia wenzio.wote Mungu atawazidishia kadri mnavyohitaji.
  10. P

    Tanapa

    @hassan umenipa moyo angalau tusubirie
  11. P

    Tanapa

    @damcon tumtegemee Mungu,ss hatuna ndugu wala vimemo ila Mungu atadhihirika akitutetea
  12. P

    Tanapa

    @wambugani hapana sina maana hyo,unajua tunaweza tukawa tunasubiri kuitwa kumbe watu walishaanza kazi,ni vizuri kuuliza
  13. P

    Tanapa

    @ulimakafu sawa.
  14. P

    Tanapa

    @wit kweli hakuna kukata tamaa kwa Mungu yote yawezekana
Back
Top Bottom