kama nakutana na wewe kwenye interview, and nimekufahamu sikupi kazi. unajua costs za kuendesha huu mtandao ni kubwa sana?, sasa ndio unaanzisha Topic ya aina gani isiyo na Mashiko?,
Shule zitusaidie. jielleze vema upate msaada stahiki.
Tafuta contact za mabenki tuma CV yako au visit website zao na utume CV yako halafu fuatilia kazi zinazofanyika benki ili ujue kama unafit wapi na elimu yako.
hata mlimani kuna bcom -banking pia. lakini benki wanachukua watu wa aina mbalimbali, toka vyuo mbali mbali , sio lazima usome ifm ndio upate kazi benki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.