Recent content by princelaus

  1. P

    Pengo la Tundu Lissu mswaada wa hukumu ya kifo laonekana

    Mwanasheria Mkuu wa serikali anapaswa kujipima mwenye na kumshauri rais juu ya uteuzi wake, naona kama nafasi hiyo haitendei haki kabisa.
  2. P

    Kanuni Kuu Mbili za Utawala Dhaifu

    Proved beyond reasonable doubt. We are in for it. What next....
  3. P

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    Nimesikitishwa sana na wanazuoni wa UDOM. Hilo ni Bomu lingine litakaloila nchi hasa kama watapenyeza wakingia kwenye system
  4. P

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Please naomba kujua list ya manaibu mawaziri mizigo ktk barazi hili jipya!!
  5. P

    PICHA, UPDATES: Kamati ya Utendaji Vijana wa CHADEMA kikaoni Dar es Salaam

    kila la heri ktk majukumu ya kukiimarisha chama.
  6. P

    Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

    Kwa nini Zitto asiheshemu ridhaa aliyopewa na wananchi wake kuwatumikia kwa uadilifu? Kwa nini Zitto anatusaliti......................
  7. P

    Hongera Lema! Hongera Chadema!

    Jamani nape kajitahidi at least, big up Gamba!!!
  8. P

    LIVE:Taifa Stars Tanzania VS Chipolopolo zambia

    Taifa Star whish u all da best funga 1-0
  9. P

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    Wana JF hapa sijaipata vizuri hii 'thread'. Hivi huu ni mkakati wa kukidhoofisha chama au nikuufahamu utumbo wa hao tuliowapa ridhaa ya kukisimaia chama then wawajibishwe kwa usaliti? of coz kama kweli hii ndo hali halisi ya CDM what next if no measure to be taken!! Lets be keen kuna watu...
  10. P

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Huu ni muendelezo wa kazi ya ukombozi wa wanyonge, Watanzania tutakuwa Huru tu coz Makamanda tutaipigania nchi yetu hadi kieleweke.Mwisho wa udharimu,ulevi wa madaraka,ufisadi na kila aina ya uchafu wa hii Serikali ya CCM ni 2015. Big up saana pipoooziiiiiiiiiiiiiiiii............................
  11. P

    Ripoti Maalum: Utetezi wa Tundu Lissu (MB) mbele ya kamati ya Haki na Maadili ya bunge

    Utetezi wa TL ndo huo hapo uko professional, kwa wale wenye mashaka na uwezo wake ktk tasnia ya sheria basi waichambuwe hii report mapema kabla ya hukumu kutolewa na kamati. vp kama TL atashinda, kuna namna yoyote ya kuiwajibisha serikali ya JK juu ya huo UDHAIFU ama jibu ni 2015?
  12. P

    Zitto tena kachafua hali ya hewa bungeni

    ZZK ni bomu hatari sana ktk taifa letu hili changa linalohitaji falsafa za kimapinduzi ili kuvuka hatua moja mbele ya kimaendeleo. Maana nia na upeo wake mdogo ewa mawazo umeshadhihilika wazi kwamba hana lolote ktk mapambano dhidi ya udhalimu na ukandamizi wa sirikali hii ya babamkwe wake JK...
  13. P

    Walimu kaza boot

    Kila mgomo unaotangazwa kwa maslahi ya watumishi au kundi fulani ktk jamii siku zote serikali hii hutoa tamko kuwa si halali kisheria japo lengo la mgomo ni halali. Nashindwa kuelewa uhalali wa aina gani unaohitajika ili haki ipatikane. Walimu komaa hadi kieleweke japo kwa % fulani. tuko pamoja...
Back
Top Bottom