Recent content by PRINCEd

  1. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Mkuu hapa hapa na mimi nina swali je, hao askari waliorudi hawakuwa na makamanda wao?? Tuambiwe ni Wapi...?? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. P

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Beii sasa mfano redmi 8 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. P

    Tunafanya epoxy floor metallic, epoxy plain floor na epoxy 3d.....

    Asanten Sent using Jamii Forums mobile app
  4. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Samahani niwekee link ya Sehemu ya 3 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Kiongozi Echolima hataa ww ikikupendeza unaweza unaweza kujibu..natanguliza shukran Sent using Jamii Forums mobile app
  6. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Kiongozi kuna sehem umeongelea "Bato ya Lukaya" Kuna sehem inaitwa "umulwekubyo" (Kona) Hii "bato" wanasema ndo ilimaliza vita... 1. Mapambano ya Lukaya yaliendeleaa kwa muda gani....? 2. Inasemekan hapa Amin alipoteza Askari wengi hadi kufika 300 au 400 wakiwemo walibya zaidi ya 100 na...
  7. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Mkuu hapa sasa nimekuelewa baada ya Uganda kuingia madarakani aliua mapadri wengi na akiwemo huyu Kiwanukaa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Sawaa lkn kuna kitabu kimoja kinasema Jeshi letu mpk 1978 kilikuwa na askari wasiozidii 20000 au 30000 lkn ndani ya miezi 6 hivi askari waliongezeka mpk 100000 au 150000....hapa tunajumuisha mgambo, askari polisi, uhamiaji, TISS na wengneo.... Kuhusu iyoo idadi (379) kuna makaburi Bunazi kyaka...
  9. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Mkapa alifatiliaa hili deni katika utawala wake tukalipwa kidogo baadae ikabidi wasamehewee Sent using Jamii Forums mobile app
  10. P

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Mkuu hizii ni battalion 4, bro wangu alikuwepo uwa nashangaa Nyerere kipindi anawapokea wanajeshi waliorudi alisema "tumepoteza vijana wetu 379" na Mkapa kwenye mbook wake karudia kosa hili kwa makusudi. Tulipoteza askari zaidi ya 5000, na raia zaidi ya 2500 miezi mitatu ya kwanza ya vita baada...
  11. P

    Mkojo wa mjamzito: Biashara nyingine ya siri isiyojulikana na wengi

    Mm nshaweka msimamo kama ww sioo mwanafunzi basii utatoa mimba kivyako Sent using Jamii Forums mobile app
  12. P

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Mpaka mwanzaa hii beii ganiii Sent using Jamii Forums mobile app
  13. P

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Mwanza Agent Wenu, namba akee plZ Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom