Ndugu nisaidieni kidogo nini hutokea pale mfungwa anapofariki akiwa bado anatumikia kufungo chake. Je ndugu zake hupewa taarifa pamoja na mwili au kuna taratibu gani?
Kazi kwa mazoea kutawamaliza hawa watu jamani. Huko nyuma mambo yalikuwa bora liende bila uwajibikajika. kwa awamu hii sorry. sasa huyu anaetakiwa kwenda na kasi ya jpm halafu analeta nyodo si aende aanzishe kadispensari kake aajiri halafu na watu wake wamfanyie kama alivyokuwa anaifanyia...
Wangu ana miaka saba na mamake anataraji mdogo kama miezi miwili ijayo. Akiwa na ufahamu wa kwamba mama ana mtoto tumboni maswali huwa mengi meng
i sana , lakini juzi alimuuliza mamake eti alikunywa dawa gani huyo mtoto akaingia huko tumboni. Mama mtu hakuamini alicho sikia akaisha kucheka...
Hili jambo ni la kweli, sasa cha kufanya hatujui. Juzi nimeenda tra kulipia mapato baad ya kufanyiwa wanachokiita re-assesment (makadio ya mara ya pili) kwamba makadirio ya mwaka juzi, jana na huu walikosea hivo nikatakiwa kuongeza malipo kwa kile kiasi kilichopungua miaka mitatu nyuma...
Ni kweli kabisa kwa sabau mshikaji baada ya kubanwa sana na familia yameibuka mengine kuwa huyu mdada ni mara ya nne kutoroka kwa nyakati tofauti tofauti n kurudi lakini jamaa alikuwa akimalizana naye kimya kimya. Mbaya zaidi mshikaji anaona kama bado anastahili msamaha. mkuu sasa sijui huyu...
Hapana mkuu siyo mimi ni jamaa yangu wa karibu sana. Sasa cha ajabu sana ni kuwa jamaa amefikia hatu anaonesha dalili za kulegeza uzi make familia ilipiga marufuku kwa wanafamili wote kutojihusisha na yule mdada. Lakini juzi mshikaji kaaja kwao anaomba kuitisha kikoa ili familia ione namna ya...
Wakuu nisaidieni mawazo kidogo,
Nina jamaa yangu hivi majuzi kalazimika kurudisha pesa za michango ya harusi yake baada ya mwenza wake kugoma kufunga ndoa. Ishu iko hivi jamaa anafanya kazi Shinyanga maeneo ya Kahama lakini familia maana ya mke na watoto wake wawili wanaishi Mwanza ambako...
Well said. Ki ukweli mimi binafsi huwa najiuliza mh.Lowasa alikuwa anatumi mbinu gani kule jimboni kwake kuweza kuwa mbunge wa zaidi ya vipindi viwili. Huyu mzee uwezo wa kujenga hoja ni sifuri kabisa naamini aliishi kwa kubebwa bebwa sana na matumizi y vipesa pesa kitu kilichoendelea mpaka...
All in all wachaga wataendelea kuwa leaders hata kama hamtaki. Hamna kabila lolote inchi hii lenye ujasiri wao na ndio maana pamoja na vita vyote ya miaka nenda rudi lakini siku mbowe anaachia ngazi upinzani inchini ndo bye bye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.