Habar za leo ndugu zangu.
Mwaka 2017 nilihitimu kidato cha nne na matokeo yangu hayakuwa mazuri kiasi cha kuridhisha. Mara baada ya kupata matokeo ya alama ya D tatu, nilikata tamaa na kushindwa kufanya namna ya kujiendeleza.
Katika moja ya kuongea na watu nikaelekezwa chuo ambacho nilisoma...
Habar za usiku wakuu....
Napenda kuuliza hvi ile website ya alison ambayo inatoa course ladhaa za diploma na certificate, je vinaweza kuwa vinatambulika na TCU?
Habari za jioni wakuu,
Napatwa na changamoto ya malalamiko kila ninapokutana na mwanamke kimwili analalamika tumbo linamuuma chini ya kitofu.
Na afadhali hata angelikuwa mmoja lakini kila ninaekutana nae nikimaliza tu kusex nae akikaa kwa muda wa masaa 3 ananiambia tumbo linamuuma.
Tafadhali...
Kiuhalisia mm nina elimu kumshinda, na wakati nipo nae nilikuwa sijapata kazi ila kwa sasa nina kazi ila kama ulivyosema tamaa ndy inawaandama hawa wenzetu wa kushoto
Tatzo kinakuja pale ambapo utamvumilia kwa kuhisi ni yule uliepangiwa na Mungu kumbe ni yupo mpigaji ambaye aliigiza kaletwa na Mungu ..
Inahitaji akili mingi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.