mkuu nilifika kwa IT akafanya changes maana ilikuwa haina zero, yaan ilianza na 6 baada ya 0, licha ya kubadili ila naona tatizo ni lile lile kwenye mfumo
Habari zenu wakuu! Hope mnaendelea poa na majukumu.
Niende moja kwa moja kwenye lengo husika.,,, Katika harakati za kuomba mkopo via Ess napata changamoto, yaan mfumo unaniandikia phone no is invalid wakati taarifa zote ziko sawa ingawa bado sijajua shida nini. Naomba kama kuna...
Mataifa mengine yote yanaweza kuongozwa na mwanamke isipokuwa kwa mataifa yenye nguvu hasa United states. So ku-Compare USA na Tanzania unakosea sana mkuu. #myonlyview
Ivi wadau, ile kitu inayoitwa Ngiri isababishayo uvimbe KIASI flan upande mmoja wa korodani nayo yaweza kuwa na athari kama hizo tajwa hapo juu ama??
Maana me mwenyewe ndo mhanga wa tatizo lenyewe na nimekuwa ndani ya tatizo kwa almost 17 years na inaniathiri sana wakati wa tendo maana naoiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.