Recent content by prince Rowland

  1. prince Rowland

    Natafuta mwenza mwanamume

    kila la kheri kwako
  2. prince Rowland

    Changamoto hii kwenye mfumo wa ess katika suala la e-loan

    mkuu nilifika kwa IT akafanya changes maana ilikuwa haina zero, yaan ilianza na 6 baada ya 0, licha ya kubadili ila naona tatizo ni lile lile kwenye mfumo
  3. prince Rowland

    Changamoto hii kwenye mfumo wa ess katika suala la e-loan

    Habari zenu wakuu! Hope mnaendelea poa na majukumu. Niende moja kwa moja kwenye lengo husika.,,, Katika harakati za kuomba mkopo via Ess napata changamoto, yaan mfumo unaniandikia phone no is invalid wakati taarifa zote ziko sawa ingawa bado sijajua shida nini. Naomba kama kuna...
  4. prince Rowland

    Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

    Mataifa mengine yote yanaweza kuongozwa na mwanamke isipokuwa kwa mataifa yenye nguvu hasa United states. So ku-Compare USA na Tanzania unakosea sana mkuu. #myonlyview
  5. prince Rowland

    Msaada tutani: Nimejisababishia makengeza

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. prince Rowland

    Droo ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2021/22 kuchezeshwa MARCH 18, 2022 Switzerland

    Kitambo sana but finally the road to Paris is just for Liverpool and Real Madrid. Can't wait
  7. prince Rowland

    Maumivu wakati wa kufika kileleni kwa Mwanaume

    Ivi wadau, ile kitu inayoitwa Ngiri isababishayo uvimbe KIASI flan upande mmoja wa korodani nayo yaweza kuwa na athari kama hizo tajwa hapo juu ama?? Maana me mwenyewe ndo mhanga wa tatizo lenyewe na nimekuwa ndani ya tatizo kwa almost 17 years na inaniathiri sana wakati wa tendo maana naoiga...
  8. prince Rowland

    Karibuni Eid [emoji57]

    🤣🤣 aliyeko serious anichek nimtoe buku la soda
Back
Top Bottom