Recent content by Prince Juzo

  1. Prince Juzo

    Kwanini Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wasimalize kuhuisha hati kwenye nyumba ambazo tayari wameshaanza mchakato huo?

    Habari za saizi ndugu zangu Hii ni barua ya wazi kwa wizara ya Ujenzi na Uchukuzi chini ya Prof. Makame M. Mbarawa. Tuanze na history kidogo ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ni taasisi ya serikali chini ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi. TBA ilianzishwa...
  2. Prince Juzo

    TANESCO kama kuna mgao wa umeme Mwanza mtangaze wananchi tujue

    Ni mgao wa umeme, hapa nilipo Mkuyuni, Mwanza, umeme umekatika toka asubui umerudi saizi.
  3. Prince Juzo

    Njoo uajiriwe kwa wazo lako la biashara lenye tija, linalohitaji mtaji mdogo

    Wazo la Kwanza: Kuanzisha Microfinance. Mtaji 1000000Tsh. Ila inahitajika hela kidogo kwa ajiri ya pango na kukata leseni. Location sehemu yoyote yenye biashara ndogo ndogo. No:2 Forex. Investment amount: 500000 Tsh Return: kwa wiki nakurudishia 50000 Tsh kama faida. Risk ya kupoteza hela...
  4. Prince Juzo

    Siku ya Mwisho wa Dunia itakuwaje kwa watakaokua Mars?

    Wote ni hapa hapa Duniani, kuishi Mars ni story kama story zingine na hakuna ukwel All we are children of God na Tutakufa tu. Kama tukiweza kuepuka mauti, hapo taamini hakuna siku ya mwisho. "Mpende Yesu kwa ajiri ya maisha yako ya kesho"
  5. Prince Juzo

    Waziri Ndaki na Katibu (Mifugo) Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa Madaktari wa Mifugo

    Watatuaje matatizo wenyewe? Vet surgeon alisema yote hayo wameshafanya ila wizara husika na viongozi wa TVSA ndio tatizo
  6. Prince Juzo

    Mzumbe University wanawezaje fundisha wanafunzi elfu 3 wa degree ya sheria kwa mwaka mmoja?

    Kwa hali hii baada ya miaka kumi, kila mtu atakua na mwanasheria wake.
  7. Prince Juzo

    Waziri Ndaki na Katibu (Mifugo) Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa Madaktari wa Mifugo

    Mimi pia nilitamani kusoma kozi hii, kumbe Mungu ame niepusha na mengi.
  8. Prince Juzo

    Waziri Ndaki na Katibu (Mifugo) Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa Madaktari wa Mifugo

    Ila kwenda internship mwaka mzima bila malipo sio mchezo, Sijui wanaofanya haya maamuzi wanafikiria nni!!!!!!!????
  9. Prince Juzo

    Hivi kuna aliyefanikiwa kutuma maombi ya sensa?

    Nimefanikiwa. Ila nilitumia masaa zaidi ya manne kukamilisha, sababu nilikua natumia simu kwaio ilibidi nisubiri sana ili majina ya mtaa, kata nk., ya yasome. Maana kuna congestion kubwa kwenye website yao kwaio walikua wananiandikia result not found kwenye mtaa, kata na kijiji. Nilipo maliza...
  10. Prince Juzo

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa

    Upo mbali sana, ila njoo PM kama upo serious.
Back
Top Bottom