Habari za saizi ndugu zangu
Hii ni barua ya wazi kwa wizara ya Ujenzi na Uchukuzi chini ya Prof. Makame M. Mbarawa.
Tuanze na history kidogo ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ni taasisi ya serikali chini ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi. TBA ilianzishwa...
Wazo la Kwanza: Kuanzisha Microfinance. Mtaji 1000000Tsh. Ila inahitajika hela kidogo kwa ajiri ya pango na kukata leseni.
Location sehemu yoyote yenye biashara ndogo ndogo.
No:2
Forex.
Investment amount: 500000 Tsh
Return: kwa wiki nakurudishia 50000 Tsh kama faida.
Risk ya kupoteza hela...
Wote ni hapa hapa Duniani, kuishi Mars ni story kama story zingine na hakuna ukwel
All we are children of God na Tutakufa tu.
Kama tukiweza kuepuka mauti, hapo taamini hakuna siku ya mwisho.
"Mpende Yesu kwa ajiri ya maisha yako ya kesho"
Nimefanikiwa.
Ila nilitumia masaa zaidi ya manne kukamilisha, sababu nilikua natumia simu kwaio ilibidi nisubiri sana ili majina ya mtaa, kata nk., ya yasome. Maana kuna congestion kubwa kwenye website yao kwaio walikua wananiandikia result not found kwenye mtaa, kata na kijiji.
Nilipo maliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.