Hii picha imenifikirisha sana

Hii picha imenifikirisha sana

Maisha ni kuchagua mkuu sio lazima ukaishi sehemu ambayo inakinzana na tamaduni yako
 
Duniani hapa hatuwezi kufanana, lazima Kuna tofauti zitaibuka na kama ukizichukulia kawaida basi hautopata stress.
 
Ukweli usemwe tu , tamaduni za kiarabu za mwanamke kujisitiri ni bora sana , kwa kuheshimisha hadhi na utu wa mwanamke.
Tatizo lake mwarabu ni ubinafsi uliopiliza.

Kuna rafiki yangu daktari alienda Saudi Arabia,huko ukiwa na Imani yako nje ya uislamu huwezi kuruhusiwa kuabudu. Kwa lugha rahisi hakuna uhuru wa kuabudu nje ya uislamu. Jamaa alikuwa anasali hotel tu chumbani kwake.

Na hiyo ndiyo context ya Uzi/mleta mada.

Kuhusu mwanamke kujistiri binafsi naona ni utamaduni mzuri,ila naomba kujua,point ya kufanya hivi ni nini? Maana wanaume wa kiarabu Wana mambo ya hovyo sana. Hawaishi kuwaka tamaa.
 
Duniani hapa hatuwezi kufanana, lazima Kuna tofauti zitaibuka na kama ukizichukulia kawaida basi hautopata stress.
Hakika.

Na ile tuishi kwa maana

Tuheshimiane kwa tofauti zetu maana tumeumbwa kutegemeana
 
Lakini huyo sikaenda uko baada ya hao kuvamia nchi Yao kijeshi na kuharibu amani? Au ww ulitaka aende wapi?

Pili hakuna kobaz anaelazimisha kafiri avae hivo wakienda huko ulaya wao wanachotaka ni kuendelea na tamaduni zao ambazo wa huko hawataki wanataka wavae kama huyo Binti, Sasa kosa lipo wapi?

Tatu, unaposema hao kafiri wakienda ukobazini wanalazimishwa kutovaa hvo lkn hapohapo utaki kobaz wakienda ukafirin wavae hvo, hii inamaana Gani?
 
Tatizo lake mwarabu ni ubinafsi uliopiliza.

Kuna rafiki yangu daktari alienda Saudi Arabia,huko ukiwa na Imani yako nje ya uislamu huwezi kuruhusiwa kuabudu. Kwa lugha rahisi hakuna uhuru wa kuabudu nje ya uislamu. Jamaa alikuwa anasali hotel tu chumbani kwake.

Na hiyo ndiyo context ya Uzi/mleta mada.

Kuhusu mwanamke kujistiri binafsi naona ni utamaduni mzuri,ila naomba kujua,point ya kufanya hivi ni nini? Maana wanaume wa kiarabu Wana mambo ya hovyo sana. Hawaishi kuwaka tamaa.
AHSANNTE SANA MKUU

NASHUKURU WEWE NI MMOJA YA WACHACHE WALIOTUMIA LOGIC KUELEWA UZI WANGU.

VIJANA NI MIHEMUKO TU NAONA WANAYO HAPA ILA HAWATAKI KUAMINI MANTIKI HALISIA
 
Tatizo lake mwarabu ni ubinafsi uliopiliza.

Kuna rafiki yangu daktari alienda Saudi Arabia,huko ukiwa na Imani yako nje ya uislamu huwezi kuruhusiwa kuabudu. Kwa lugha rahisi hakuna uhuru wa kuabudu nje ya uislamu. Jamaa alikuwa anasali hotel tu chumbani kwake.

Na hiyo ndiyo context ya Uzi/mleta mada.

Kuhusu mwanamke kujistiri binafsi naona ni utamaduni mzuri,ila naomba kujua,point ya kufanya hivi ni nini? Maana wanaume wa kiarabu Wana mambo ya hovyo sana. Hawaishi kuwaka tamaa.
Hata wahaya , wachaga na nk ni wabinafsi pia , uliwaonea wapi hao waarabu wakiwaka tamaa.
 
Ukweli usemwe tu , tamaduni za kiarabu za mwanamke kujisitiri ni bora sana , kwa kuheshimisha hadhi na utu wa mwanamke.
Nilipata binti wa kiarabu namna hii, nikaimbisha akakubali ila aligoma kuingia guest au hotel siku moja nikampeleka geto la mshikaji nikamdanganya ni kwangu.

Itikadi ni ile ile ila tamaduni ndio tofauti.
 
Huyu wa kushoto amekaribishwa na huyu wa kulia katika nchi yake bila shurti ya maelekezo ya kufuata utamaduni wake na itikadi yake na baada ya muda atafanya maandamano kushinikiza tamaduni yake ifatwe ingawa yupo ugenini na kwa bahati yake nzuri atasikilizwa.

ILA,

Huyu wa kulia akienda kwenye nchi ya ya huyu kwanza hawezi kukaribishwa akiwa yuko hivi lakini pia hata pata uhuru wa kuendeleza utamaduni na itikadi aliyoacha nyumbani na akifanya maandaamno kuimiza ifatwe tamaaduni yake anajua atakochafanywa🤣

View attachment 3403010


ALL IN ALL TUHESHIMIANE KWA TOFAUTI YA TAMADUNI ZETU MAANA TUMEUMBWA KUTEGEMEANA, HII NDIO ASILI YA UNIVERSE KIUJUMLA ILA ITIKADI ZETU ZINATUPOTOSHA.
Wote ni washenzi, hakuna aliyevaa sahihi kulingana na utamaduni wangu. Yaan Karne ya 21 bado unaangaika na mavazi. Hivi usahihi wa mavazi umeutoa wapi bana, hakuna utamaduni ulio bora sio mzungu au sio mwarabu. wote utamaduni wao ni wakishenzi ukilinganisha na utamaduni wetu.

Kwaio acha kuiga utamaduni wa watu, kama umeupenda fanya wewe na familia yako na sio kutulazimisha wote tuone move za kihindi ni nzuri kuliko za kikorea.
 
Back
Top Bottom