Nakumbuka baba yangu alikuwa anafanya kazi kwenye hayo magazeti ya jitambue. Kila jioni ikifika wanakuja home,geti linafunguliwa gari(pick up) linaingia ndani na mzigo wa magazeti then wanashusha wanaingiza ndani halafu kesho asubuhi wanayachukua wanaondoka. By that time nlkuwa mdogo i think...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.