Recent content by Prince Jr

  1. Prince Jr

    Gazeti la Jitambue

    Nakumbuka baba yangu alikuwa anafanya kazi kwenye hayo magazeti ya jitambue. Kila jioni ikifika wanakuja home,geti linafunguliwa gari(pick up) linaingia ndani na mzigo wa magazeti then wanashusha wanaingiza ndani halafu kesho asubuhi wanayachukua wanaondoka. By that time nlkuwa mdogo i think...
  2. Prince Jr

    Kila wakizalishwa ndio wananishobokea

    Ya kwako hayajalegea?
  3. Prince Jr

    Umechezea hii wewe? Mambo yetu haya..!!!

    Cc kule tanga,lushoto 2likuwa 2naita sodo
  4. Prince Jr

    Wasifu (CV) wa mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CHADEMA

    Chadema wana uchu wa madaraka!! Ni vigumu sana kuiondoa CCM madarakani! Take my words
  5. Prince Jr

    Wadau matokeo J.mosi hii kwa wale wa Form 4

    Hata kama yakitoka leo,advance mpaka mwezi wa saba ndo utaingia! Relax kijana,form four ni rahisi sana kupita kama maji!
  6. Prince Jr

    Upepo mkubwa watikisa Jiji la Dar usiku, umeme wakatika!

    Ukitoka job basi au vp? Ni pm
  7. Prince Jr

    Upepo mkubwa watikisa Jiji la Dar usiku, umeme wakatika!

    Kama vp turud basi tukalale wote
  8. Prince Jr

    Upepo mkubwa watikisa Jiji la Dar usiku, umeme wakatika!

    Dah,me huku xcul upanga mvua inanyesha tu mixer kiubaridi! Dizain kama hali ya hewa inaruhusu kukaa watu wawili wawili! Enewei kitaeleweka tu leo!
  9. Prince Jr

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Chadema wana uchu wa madaraka!
  10. Prince Jr

    Mwalimu gani mkali ushawahi kukutana nae katika maisha yako ya shule...!!!??

    Benard Ngozye-H/M Azania Boys. Huyu mbwa anachapa fimbo 6! Kosa lolote lile hata kama hujavaa tai!
Back
Top Bottom