Kila wakizalishwa ndio wananishobokea

Kila wakizalishwa ndio wananishobokea

Wanajanvi kwanza nianze kwa kuwapa hi. Mko powa jamani? Mimi ninashangazwa na tabia wanayoifanya madada wengi wa huku kwetu uswazi, nimefikisha kama saba hivi, ambao niliwahi kuwaomba mechi nigegede wakanitolea nje,kipindi hicho wakiwa bado mabinti chuchu ziwa konzi, cha ajabu wakizalishwa tu na washikaji wanaanza kujipendekeza mara "J" sikuhizi umekuwa soft, mara "J" natamani nije geto kwako tupige stori, mara "J" ninunulie soda n.k. Nawaangalia wamechoka ki ukweli matiti yamesha legea kama yebo yebo au mapapai. Sasa jamani niwafanyeje? Maana yake mimi ninafaa kula makombo?

teh teh teh! Una nyota ya kula makombo
 
Ukisikia paa ujuwe limekupata
Kelubukenge uliye na makengeza kha!!!!!!!!!!!!!ulivyo na mdomo mchafu wengine tuna michafu zaidi hata kwa jiki haisafishiki ni zaid ya vyoo vya boarding ,
Unawasema wenzio papai kwa mtonyo gani ulionao wewe dada zako au mama ako bado matiti yamesimama?? kazi kusema dada wa wenzio!!! Uwe na adabu
Naona una hamu nikuunganishie mabasha unawashwaaaaa! !!!!!!
Wa kupewa namba utakua wewe papai lililooza akutake nani labda mtaan kwenu hapo domo zege,pesa za mawazo ndio maana unalialia tu wakushobokee kwa lipi kinuka mav we kanye urareeeeee kesho uwahi tuition
Mwanaume sio wewe umejilazimisha tu kujiita mwanaume,wanaume hawana ushuzi kama wako jiangalie jinsia yako labdq umejichengaa kha!!!!mbuzi kafia kwa muuza supuuuuuuuu!!!!

Umekua Bakhresa au Jakaya hadi nikujue,mtoto wa kike we huna haya usiojua vibaya
Basi swahiba hii dozi imemtosha tena umemuover dozi, ila ulisahau tarumbeta tu, siku hizi unapomchamba mshakunaku unamsindikiza na tarumbeta.
 
Basi swahiba hii dozi imemtosha tena umemuover dozi, ila ulisahau tarumbeta tu, siku hizi unapomchamba mshakunaku unamsindikiza na tarumbeta.

Nilikua nakusubiri uje na tarumbeta niliambiwa unalo umpe dozi ya leo maana hiyo ni ya jana usiku maana hajaamka itakua nimemuover dozi yarabilalaamin
 
Wanajanvi kwanza nianze kwa kuwapa hi. Mko powa jamani? Mimi ninashangazwa na tabia wanayoifanya madada wengi wa huku kwetu uswazi, nimefikisha kama saba hivi, ambao niliwahi kuwaomba mechi nigegede wakanitolea nje,kipindi hicho wakiwa bado mabinti chuchu ziwa konzi, cha ajabu wakizalishwa tu na washikaji wanaanza kujipendekeza mara "J" sikuhizi umekuwa soft, mara "J" natamani nije geto kwako tupige stori, mara "J" ninunulie soda n.k. Nawaangalia wamechoka ki ukweli matiti yamesha legea kama yebo yebo au mapapai. Sasa jamani niwafanyeje? Maana yake mimi ninafaa kula makombo?

Wanajua wewe unapenda vitu used.
 
Ujue unafanana na fisi, kula mifupa, wenzio washakula nyama.
 
Back
Top Bottom