Recent content by PRINCE JOHN

  1. P

    DC Makonda apigwa changa la macho Kinondoni

    Kumbe ni DC mwizi
  2. P

    Tazama ramani mpya ya Africa..

    Aaah, kutokana na ramani hii nzuri leo ndo nimeelewa kwa nini somalia inaitwa pembe ya Afrika. Tazama vizur utaelewa ninachomaanisha
  3. P

    Katuni niliyoipenda: Chama kimoja, tune moja ila uchezaji tofauti

    Ama kweli pinda kaamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi.
  4. P

    Why not If not!

    Duuuh, umenikumbusha jinsi Wahindi wanavyoitamka " va" kama "wa" na kwa mantiki hiyo ngoma inasomeka "I love wa jina"
  5. P

    Huyu anastahili cheo gani cha kupewa kwa hapa bongo

    Yeah wizara inamfaa na bila shaka atasaidia kuvutia watalii wengi wa ndani na nje ya nchi.
  6. P

    Urusi ilihusika katika utekaji nyara wa ndege ya MH370

    I will be back as shortly as possible to see how this brand new scientific finding based on the Malaysian Airplane disappearence is perceived by the pro- Russia-JF-Members.
  7. P

    Au ni macho yangu...?

    Ni mtu na mjomba wake
  8. P

    Vurugu Ilula: Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto

    Enyi police kuweni na busara na ubinadam hata kwa mithiri ya chembe ya haradani. Achane kuua raia ambao ni watanzania na dugu zenu katika bwana. Msiwe kama hayawani atendandaye bila kujua alitendalo. kumbukeni hao mnaowaua wanahitaji kuishi na wana haki ya kuishi kama raia wengine popote pale...
  9. P

    Cute…………

    Hivi ninyi mnaoandika "hawe" badala ya "awe" mna maana gani??
  10. P

    Laptops zinauzwa

    weka bei na contact
  11. P

    UTANI; Selection ya kuwateua DC

    Hahahaaaa, hapo jamaa alikuwa anamchungulia na kumtathimini toto ya malechela kama inafaa au la. Na alipobain kuwa haifai kakunja sura maana aliona imeegemea kund la ….
  12. P

    Maskini tembo wetu

    Huyu si ndo msomali wa tz?
Back
Top Bottom