I will be back as shortly as possible to see how this brand new scientific finding based on the Malaysian Airplane disappearence is perceived by the pro- Russia-JF-Members.
Enyi police kuweni na busara na ubinadam hata kwa mithiri ya chembe ya haradani. Achane kuua raia ambao ni watanzania na dugu zenu katika bwana. Msiwe kama hayawani atendandaye bila kujua alitendalo. kumbukeni hao mnaowaua wanahitaji kuishi na wana haki ya kuishi kama raia wengine popote pale...
Hahahaaaa, hapo jamaa alikuwa anamchungulia na kumtathimini toto ya malechela kama inafaa au la. Na alipobain kuwa haifai kakunja sura maana aliona imeegemea kund la .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.