Wakuu baada ya siku kadhaa kupita baada ya DC MAKONDA kuapishwa,tayari anepokelewa kwa dharau ta hali ya juu....kesho kutwa tarehe 28.2.2015 ameitisha kikao cha mashauriano cha wilaya DCC,kupitia na kushauri bajeti ya halimashauri ya kinondoni 2015/2016.
Tofauti na Taratibu zilivyo kwamba kikao cha mkuu wilaya cha mashauriano kilipaswa kukaa siku kadhaa kabla ya baraza la madiwani kupitisha bajeti ya halmashauri.akiwa kama mkuu wa wilaya kushauri na kuweka mapendekezo yake ya kiutawala ili zitengewe fedha na mipango kwa bajeti ijayo.
Hilo watumishi wa wilaya ya kinondoni na manispaa kwa ujumla wamemuandalia danganya toto kesho kutwa ikiwa kama kikao cha DCC kushauri bajeti huku wakijua fika kuwa bajeti imeshapitishwa tangu tarehe 21.2.2015.
na kwamba lolote litakalo jadiliwa halina nafasi tena ya kuingia kama mapendekezo.
Hivyo imekuwa ni mtihani kwake kukutana na fedheha hiyo
Tofauti na Taratibu zilivyo kwamba kikao cha mkuu wilaya cha mashauriano kilipaswa kukaa siku kadhaa kabla ya baraza la madiwani kupitisha bajeti ya halmashauri.akiwa kama mkuu wa wilaya kushauri na kuweka mapendekezo yake ya kiutawala ili zitengewe fedha na mipango kwa bajeti ijayo.
Hilo watumishi wa wilaya ya kinondoni na manispaa kwa ujumla wamemuandalia danganya toto kesho kutwa ikiwa kama kikao cha DCC kushauri bajeti huku wakijua fika kuwa bajeti imeshapitishwa tangu tarehe 21.2.2015.
na kwamba lolote litakalo jadiliwa halina nafasi tena ya kuingia kama mapendekezo.
Hivyo imekuwa ni mtihani kwake kukutana na fedheha hiyo