Recent content by primi massawe

  1. P

    IGP Sirro apangua maRPC wa mikoa minne, yumo wa Morogoro

    Ni jambo jema kwenye utendaji wa kazi
  2. P

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Huku kibamba kibwegere sisi ambao tupo zaidi ya mita hamsini utaratibu ukoje?
  3. P

    Mbeya hawajui kabisa nyama choma

    We nenda ifakara in bora mbeya,wasukuma wanachoma nyama inakuwa nyeusi balaa
  4. P

    Kutosajili laini ya Simu kutozwa faini ya Tsh milioni 5 au kifungo cha mwaka mmoja jela

    Wazee ambao wana simu huko vijijini na hawana kitambulisho cha taifa wafanyeje sasa,
  5. P

    Umaskini bado unaendelea kuitesa mikoa pendwa ya Mwanza na Geita

    Takwimu naona haeajapita vijiji vya Kilimanjaro, uchumi was mtu mmojmmoja ni wa chini sana
  6. P

    Maajabu haya! Faru sasa kuhamishiwa hifadhi ya Buligi-Chato

    Itasaidia kukuza utalii kwenye hiyo mbuga
  7. P

    Mwanza, Arusha na Moshi: Maeneo ya kumenya bata kisawasawa

    Tatizo LA moshi wanalala mapema sana,njoo Tabata huku dar no shida
  8. P

    Leo ni siku ya kuachana na "gari" duniani

    hapa kwetu dar leo kuna foleni sana naona hii siku siyo muhimu kwao.
Back
Top Bottom