Recent content by Prihu

  1. Prihu

    Yahusu wafufuao wafu na misukule

    haahaaaahaaaa ni kweli kabisa
  2. Prihu

    Diwani Nyang'hwale avuliwa madaraka baada ya kukamatwa akifanya mapenzi na mwanafunzi

    kumbe nawe ni mmoja wao wapenda dogodogo..haya tuambie si kosa kivipi
  3. Prihu

    Mwigulu Nchemba na kashfa ya kudanganya umri

    pole Sitti Mtemvu kata rufaa mwaya maana mko wengi
  4. Prihu

    Majina ya watoto wa kike yaliyopoteza mvuto

    we kiboko....haya majina maarufu sana kwa kipindi hiki..ukiyataja razima usisimke
  5. Prihu

    Wanawake mnaojichubua ngozi mnaniudhi na mnakera mno

    Na hao madume wanaojichubua?au hamuwaoni?
  6. Prihu

    Ukatili wa kutisha, amkata mwanawe nyeti

    huyu aliyemkata aseme ukweli nyeti hizo alikuwa na nia nazo gani.....asisingizie likojozi.Huuu ni uuwaji,mi ningekuwa mtunga sheria kila afanyaye unyama wowote adhabu yake iwe ileile.....Ova
  7. Prihu

    Polisi yafyatua risasi, mabomu ya machozi Ubungo kuzuia vurugu

    Kwa linachoendelea kwa sasa ccm yapaswa kujiangalia upyaaaa..na ijipange kukubali kuwa mama wa kambo
  8. Prihu

    Mh Lema umetudharau sana wananchi wako

    Ulitaka akajenge nyumba ya tembe au
  9. Prihu

    Polisi yafyatua risasi, mabomu ya machozi Ubungo kuzuia vurugu

    Inasikitisha sana jamaa kapigwa kama mwizi na kujifucha kwenye ntaro...ccm wajifunze Tanzania sio ya 47 wananchi wameamka hawataki kuburuzwa tena
  10. Prihu

    Rais Kikwete akutana na Diamond na Mshindi wa BBA Idris

    Vijana waliokosa mikopo hawezi kukutana nao...anajua wana hasira na wanaweza kumtoa nduki....ndio maana hataakija kuhutubia taifa anakimbilia kwa wazee ambao wameshajichokea.
  11. Prihu

    ESCROW ililenga Muhongo na kuangusha serikali

    kama ulibuniwa mbona anawatimua watu kazi?
  12. Prihu

    Vurugu kubwa zatokea Kariakoo, Dar

    Mhuu sio kweli bhana wako busy na mambo yao....unataka wafanyeje ili ujue ni wanaume wa shoka?acha dharau bhana
  13. Prihu

    Aliyekuwa Mb. wa Karagwe na Mjukuu wake wafariki ndani ya siku mbili, Soma kisa hiki

    Poleni sana wafiwa Mungu awape uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu
  14. Prihu

    TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

    poleni sana wafiwa...na apumzike kwa amani
Back
Top Bottom