Habari wakuu..
Natumai mu wazima..uzi huu ni maalum kwa hawa washabiki wa ukawa...unajua tatizo kubwa ukawa ina mashabiki vijana hasa wa mitaani na pia wanaoshinda mitandaoni....hembu ongeeni fact yani kutwa kucha ni kumsifia lowassa lakini ukiulizwa lipi zuri alilofanya huna lakujibu ila...
Kakangu Mungu aendelee kukupa imani hyo mwambie tuh kwamba akazanie masomo na kazi kwanza ili awe na maisha mazuri baadae huku ukiendelea kukaa nae mbali kijanja na kujifanya uko busy coz ukiongeza ukaribu nae itakua ngumu sana kumuacha.. Mungu na akupe mke mwenza coz u deserve kua na mke mwema.
Ni heshima tuuh hiyo kakangu huo ni wasiwasi wako tuuh hyo ndo maana ya kitchenparty alifunzwa huyo kumlea mume asa wewe cjui unalalamika nini... Asipovuliwa mnajipeleka kwingine...
AF hii story mbna km inarudiwa humu? We hujawah mwambia boss wako that upo single?? Nways achana na mawazo ya kupigiwa debe inawezekana mama wa watu hat wazo hilo hana. Just concentrate kwny kazi zako n be serious with yo deeds
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.