Why most relationships na ndoa nyingi dont last nowadays

Why most relationships na ndoa nyingi dont last nowadays

Wengine wanakujaga huku kuuliza ntajuaje hyu anayenitaka kwamba ni kwa ajili ya kutaka mwili tu au ndoa,ukiona mtu siku ya pili tu anaomba mchezo ujue hapo hamna future kawa muwazi zaid tatizo la wadada wengine mpaka wadanganywe kama unaweza unampa anachokitaka ansepa kama hauko tayari unamwambia
 
Wanaume bwana ni noma sana unaweza ukajidai unabana papuchi yako anakutazama tu na yy anakusapot anakwambia poa nitasubir mpk utakapokuwa tayar, siku ukimpa kesho humuoni..

Mm kwa upande wangu nitakupa tena vizur tu hata kama tuna wiki ila condom ni muhimu sana kutumia baada ya hapo ukiamua kusepa we sepa tu na wala sitajutia, kama raha tulipeana so wasalimie tu..
 
Jamani sijui ni mim nimepitiwa na wakati au nimegoma kwenda nao..sijui wanadamu wa sasa tumekuaje..unakuta unakutana na mwanaume siku ya kwanza mnakaa vizuri tu then siku ya pili yako mtu tayari kashaanza kukuomba uchi..hivi ndani ya siku moja unaweza ukawa umemjua mtu vizuri?hujui background yake,hujui kawa na wanaume wangapi uko nyuma ww unawaza kumpeleka kitandani tu..kwa style hii ukimwi hauishi aisee..

Ushauri wangu jamani naweza nikaonekana wa zamani ila ni muhimu kujipa time kumfahamu mtu utakaekua nae..atleast ata anakaa wap,ametoka kwenye familia ya aina gani na je kama atakufaa na unaweza kua nae kwa mda mrefu..tuwe wavumilivu na tusiwe controlled na miili yetu..hizi tamaa za mwili mbna ni kitu cha mda tu.!it doesnt break a bone to be patient,infact it helps alot apo ndo unakuta unaoa mtu baada ya wiki moja unaanza kujita.!tusisingizie nyakati,ur are the master of ur decision.!

Ndugu, ngono ni starehe kama starehe zingine. Huwezi kwenda Bar kustarehe, halafu ukaanza kumuuliza muhudumu, pombe anazokuuzia zimetengenezwa kiwanda gani, zimesafirishwaje mpaka kufika hapo bar, au wamezinunua wapi. Pia huwezi kwenda kupaa nyoka Club, halafu ukataka kujua inamilikiwa na nani au Dj ni mtu wa wapi. Ndiyo maana ni vigumu sana mtu kumpata bikira wa kuoa.
 
Wanaume bwana ni noma sana unaweza ukajidai unabana papuchi yako anakutazama tu na yy anakusapot anakwambia poa nitasubir mpk utakapokuwa tayar, siku ukimpa kesho humuoni..

Mm kwa upande wangu nitakupa tena vizur tu hata kama tuna wiki ila condom ni muhimu sana kutumia baada ya hapo ukiamua kusepa we sepa tu na wala sitajutia, kama raha tulipeana so wasalimie tu..

Strange..!!!
Hujuti kuvua nguo, kubaki uchi kwa mtu ambaye mwisho wa siku si kitu kwako?

Hujuti kuwa na mlolongo wa sex partners ambao "mmetumiana" bila malengo yoyote?

Hujuti kuwa huo mwili ni wa thamani sana, kuwa watakiwa kuuheshimu na kuuthamini?

Unajua wadada mlikuwa mnaisaidia sana jamii kwa uwezo wenu wa kusema "HAPANA"? Sasa mmeamua kuwa macho juu juu kama wanaume kweli?
 
Jamani sijui ni mim nimepitiwa na wakati au nimegoma kwenda nao..sijui wanadamu wa sasa tumekuaje..unakuta unakutana na mwanaume siku ya kwanza mnakaa vizuri tu then siku ya pili yako mtu tayari kashaanza kukuomba uchi..hivi ndani ya siku moja unaweza ukawa umemjua mtu vizuri?hujui background yake,hujui kawa na wanaume wangapi uko nyuma ww unawaza kumpeleka kitandani tu..kwa style hii ukimwi hauishi aisee..

Ushauri wangu jamani naweza nikaonekana wa zamani ila ni muhimu kujipa time kumfahamu mtu utakaekua nae..atleast ata anakaa wap,ametoka kwenye familia ya aina gani na je kama atakufaa na unaweza kua nae kwa mda mrefu..tuwe wavumilivu na tusiwe controlled na miili yetu..hizi tamaa za mwili mbna ni kitu cha mda tu.!it doesnt break a bone to be patient,infact it helps alot apo ndo unakuta unaoa mtu baada ya wiki moja unaanza kujita.!tusisingizie nyakati,ur are the master of ur decision.!
Mbona nyie mnaombaga vocha siku hiyohiyo?
 
Yafuatayo yanawezekana:

Tayari ana ngoma

Anaitafuta ngoma

Hayo masaa mlio juana tayari ameshakuskan na kujua status yako ya ngoma...

Ila ni pepo la ngono tu ndio limeshika hatamu hapo.
 
Mawazo yako ni yapi,mm nilipendekeza ,hata sk 1 mtu ataweza kutoa makucha kama ameshapata alichotaka
 
ndoa za siku hizi ziko kisegere, kiduku duku, kimiduara, ki-kigodoro nk.

they cant last long.
 
Ooooh...! Uwa naogopa sana mapenzi kila nnapofikiria nakosa raha watu wamekua waongo mno, wanaume wanafikiria ngono tu, wadada after money. Kila mtu anakuwa kwe mapenzi nahitaji lake binafsi na sio upendo.. lakini mwisho wa siku wapo wanafurahia mahusiano yao
 
Jamani sijui ni mim nimepitiwa na wakati au nimegoma kwenda nao..sijui wanadamu wa sasa tumekuaje..unakuta unakutana na mwanaume siku ya kwanza mnakaa vizuri tu then siku ya pili yako mtu tayari kashaanza kukuomba uchi..hivi ndani ya siku moja unaweza ukawa umemjua mtu vizuri?hujui background yake,hujui kawa na wanaume wangapi uko nyuma ww unawaza kumpeleka kitandani tu..kwa style hii ukimwi hauishi aisee..

Ushauri wangu jamani naweza nikaonekana wa zamani ila ni muhimu kujipa time kumfahamu mtu utakaekua nae..atleast ata anakaa wap,ametoka kwenye familia ya aina gani na je kama atakufaa na unaweza kua nae kwa mda mrefu..tuwe wavumilivu na tusiwe controlled na miili yetu..hizi tamaa za mwili mbna ni kitu cha mda tu.!it doesnt break a bone to be patient,infact it helps alot apo ndo unakuta unaoa mtu baada ya wiki moja unaanza kujita.!tusisingizie nyakati,ur are the master of ur decision.!

Unataka zipite siku ngapi ndio unipe?
 
Wanaume bwana ni noma sana unaweza ukajidai unabana papuchi yako anakutazama tu na yy anakusapot anakwambia poa nitasubir mpk utakapokuwa tayar, siku ukimpa kesho humuoni..

Mm kwa upande wangu nitakupa tena vizur tu hata kama tuna wiki ila condom ni muhimu sana kutumia baada ya hapo ukiamua kusepa we sepa tu na wala sitajutia, kama raha tulipeana so wasalimie tu..

Aiseeeeeee!!!!!!!!
 
:A S 13:nilijifanya kuchunguza nikakuta karibu watu wote ninao wafahamu na yeye anawafahamu mbaya zaidi wanaume karibia sita ninaowafahamu wamempitia na mbaya zaidi nilkua nishapenda nikajikuta naumia tu na kuacha siwezi. bora nisijue bora tu awe hana ngoma.:evil::evil:
 
Kwani kuna ulazima mpaka anaetaka Ndoa ndio umpe Penzi? Wangapi wamevalishwa pete na mahari ikatolewa lkn mwisho wa siku wanayeyuka kama Barafu vile. Jacky P...mba Upo??
 
Aiseeeeeee!!!!!!!!

Unashangaa nini wakati wengi wenu ndio mnavyopenda hivyo ?
Wanaume watu wa ajabu sana!
Wataomba papuchi mapema iwezekanavyo, wakishapewa wanakaa pembeni na kuanza kuongelea vibaya kuhusu "wanawake wa siku hizi", watawaita majina yote ya kuwatusi wakati wao ndio wame initiate hizo tabia.
Mimi nawaona wanafki sana nyie viumbe!
 
Strange..!!!
Hujuti kuvua nguo, kubaki uchi kwa mtu ambaye mwisho wa siku si kitu kwako?

Hujuti kuwa na mlolongo wa sex partners ambao "mmetumiana" bila malengo yoyote?

Hujuti kuwa huo mwili ni wa thamani sana, kuwa watakiwa kuuheshimu na kuuthamini?

Unajua wadada mlikuwa mnaisaidia sana jamii kwa uwezo wenu wa kusema "HAPANA"? Sasa mmeamua kuwa macho juu juu kama wanaume kweli?

Ww ulishaumizwa mara ngap uliacha kupenda tena???

Ndivyo hivyo hivyo kwangu siwez kuacha kutoa game eti kisa utaniacha??
Kama tulikubaliana kuwa kwenye mahusiano sina kosa kama nitakupa papuch, kama mtu ana lengo la kunitumia na kuacha hata tukikaa mwaka atasubir tu, atakapotizima lengo lake atasepa..

Ndio maana nasisitiza lazima nicheze game salama hata ukiniacha fresh we sepa tu..
 
Unashangaa nini wakati wengi wenu ndio mnavyopenda hivyo ?
Kwanza sijashangaa
Pili unajuaje kuwa ni wengi?
Wanaume watu wa ajabu sana!
Wana macho manne?
Wataomba papuchi mapema iwezekanavyo, wakishapewa wanakaa pembeni na kuanza kuongelea vibaya
Unawazungumzia akina nani wewe?
kuhusu "wanawake wa siku hizi", watawaita majina yote ya kuwatusi wakati wao ndio wame initiate hizo tabia.
Hueleweki kabisa
Mimi nawaona wanafki sana nyie viumbe!
Unawazungumzia viumbe gani?
Au chura?
 
Back
Top Bottom