Recent content by Premium

  1. Premium

    Mmiliki wa mabasi ya Super Sami atoweka, gari lake lachomwa moto Serengeti

    Gari yake imekutwa imeteketea kwa moto upande wa pili wa hifadhi ya Serengeti kama unaelekea ziwani panaitwa Nyantarwe na sio kweli gari limekutwa ndani ya hifadhi ya Serengeti
  2. Premium

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Asante sana Numbisa
  3. Premium

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Itandula Gambalagi-CRDB,NMB,NHC....
  4. Premium

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Kija Redio-UDSM 1997
  5. Premium

    Tanzia: Mwanafunzi wa UDOM afia juu ya kifua cha mwanamke wakati wa Tendo pendwa

    Nimebahatika kuudhuria huu msiba hapa Magu, Kijana wamemsafirisha leo kwenda kumzika kwao Baba yake Mugumu Serengeti, Baba yake ni askari Polisi maarufu sana hapa Magu, Kijana alifia Hotel maarufu hapa Magu inaitwa Raydance ipo barabara kuu ya Mwanza Musoma kama unaingia stand ya Magu, Na...
  6. Premium

    Jamal Malinzi akubali kuachia ngazi TFF

    Sasa hivi wanaimba Orugambo na Mt Rugemalira
  7. Premium

    Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

    Nimeshiriki mchezo huu, na niliposhiriki wamekuwa wakinitumia msg zao za kunihamasisha nishiriki au msg za kutangaza washindi wao, Cha ajabu ni hizi msg mbili za kutangaza washindi hebu angalieni namba za simu za washindi!
  8. Premium

    Rushwa imeshamiri uhamiaji mkoa wa Kilimanjaro

    Mtoa post ni mtu wa majungu, baada ya kufatilia taarifa hii, Nimegundua Kyagata alikuwa ni mtumishi wa ofisi ya uhamiaji hapa Kilimanjaro ila kwa sasa hivi amesomewa uhamisho, Na hawa anaowarushia tuhuma Inasemekana wamechangia uhamisho wa Kyagata kutoka na kugeuza ofisi kuwa kama saloon ya...
  9. Premium

    Mhandisi Felchesm Mramba baada ya kutenguliwa TANESCO sasa anamtumikia Mungu

    Huyu si mmoja ya waliokuwa wanafungulia maji Mtera, Wanapiga pesa!
  10. Premium

    Mfanyakazi wa Startv Cyprian Musiba ameamua kuacha kazi baada ya kutukanwa kwenye mitandao ya kijami

    Huyu jamaa ni kibaraka wa Kitwanga, kama mnakumbuka kwenye issue ya kutimuliwa Kitwanga alikuwa mstari wa mbele kumtetea katika media, Na kumtuhumu waziwazi Rz1 kwamba anahusika, Na kumbuka kuna vita kubwa sana kati ya Makonda na Kitwanga kwa ajili ya Ubunge 2020,Kwangu mimi sio shujaa ni...
  11. Premium

    Magufuli usikubali kupiga ngoma tena

    JK kweli kapata mrithi
  12. Premium

    Natafuta shule nzuri Arusha au Moshi

    Hakikisha amepata alama A nikuunganishe na MaryGoerth hapa Moshi hakika utakuwa umemtengenezea maisha!
  13. Premium

    Filikunjombe aomba kugombea tena Ludewa leo

    Atakatwa tu si alikuwa Friends of Lowassa
  14. Premium

    Hatima ya wahusika wa vyeti feki ndani ya Jeshi la Polisi

    Waanze kumnyofoa RPC wa Mkoa mmoja wa Kusini!
  15. Premium

    Kuna Matangazo Mengine hayastahili kuoneshwa kwenye TV

    Napata shida ninapoona tangazo la ving'amuzi vya Continental halina maadili kabisa
Back
Top Bottom