Ipo Tegeta Dar es salaam, haina tatizo lolote. engine ipo safi na nimeifunga mwaka jana mwezi wa kwanza,.hapo ni kuwasha na kuondoka. bei ni 35 milioni hakuna dalali, ni mimi mwenyewe hivyo usiogope bei tutafikia muafaka mzuri tu.. namba yangu ni hii 0625 601 589 karibu sana.
Mmoja ana karama ya ualimu/kufundisha, mwingine ana karama ya uponyaji/kutoa mapepo majini n.k
Mmoja anahubiri nafsi za watu ziokoke, mwingine mahubiri yake ni juu ya kupata utajiri na jinsi ya kujikinga na wachawi wasikudhuru kwenye biashara, kulinda vyeo na nafasi ya kazi mtu aliyonayo...
Vijana wapewe maeneno ya kulima, trekta za kutosha mbegu bora na uhakika wa masoko baada.... sasa huo mchakato wa kuvipata hivi vitu, hata mwaka waeza isha usiambulie chochote
Hii nimepewa na friend of mine kutoka Qatar... ni wiki mbili imepita toka ni spray na manukato hayaishi kwenye nguo, nikifua nikipiga pasi ndio kama nimeyaamsha.. bei yake imechangamka kidogo $183. 00
Jana Ulirudi Usiku kati ya hayo mawili China au Russia kuna mmoja lazima afanye jambo, kwa hali ya sasa dunia inavyokwenda unaweza kuona jinsi Russia anavyomvimbia mmarekani maana silaha anazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.