Recent content by predizen

  1. predizen

    JamiiForums Tanzania Nilitegemea Salim Kikeke na Maulid Kitenge wangepata Fursa ya Kuongoza Mijadala Kwenye huu Mkutano wa Nishati lakini Sijawaona kabisa!

    crown fm amechukuliwa mtangazaji Pablo Almas, task yake kubwa ni kuhariri na kutafasiri lugha kutoka kifaransa kuwa kiswahili, lakini pia kufanya mahojiano na staff member wa summit hasa wale wanaozungumza kifaransa
  2. predizen

    JamiiForums Tanzania Hii ajali ya Handeni leo nimeishuhudia kwa macho ila nna haya ya kusema

    kwa hiyo unamkashifu sio
  3. predizen

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

    Ugali dona unaufahamu kweli!
  4. predizen

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Mwenyezi Mungu akuponye
  5. predizen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

    Dah ila na wewe unakulaje tigo ndugu! na ukamchana[emoji23] [emoji23] eeh bhana eeeh[emoji706][emoji706][emoji706]
  6. predizen

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Mitsubishi Canter Gari ya kazi

    Ipo Tegeta Dar es salaam, haina tatizo lolote. engine ipo safi na nimeifunga mwaka jana mwezi wa kwanza,.hapo ni kuwasha na kuondoka. bei ni 35 milioni hakuna dalali, ni mimi mwenyewe hivyo usiogope bei tutafikia muafaka mzuri tu.. namba yangu ni hii 0625 601 589 karibu sana.
  7. predizen

    JamiiForums Tanzania Natabiri Elon Musk wa Tesla/Twitter kumpiga KO Mark Zuckerberg wa Facebook kwenye Pambalo lao la Masumbwi

    jamaa kadudkua account ya Alikiba kule YouTube yupo live anaendesha madahalo.
  8. predizen

    JamiiForums Tanzania Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

    Mmoja ana karama ya ualimu/kufundisha, mwingine ana karama ya uponyaji/kutoa mapepo majini n.k Mmoja anahubiri nafsi za watu ziokoke, mwingine mahubiri yake ni juu ya kupata utajiri na jinsi ya kujikinga na wachawi wasikudhuru kwenye biashara, kulinda vyeo na nafasi ya kazi mtu aliyonayo...
  9. predizen

    JamiiForums Tanzania Kaeni Mguu Pande, Zama za Utawala wa Mwanamke Duniani unakuja

    Baada ya kusoma hii post nimecheka mno tena sana, hebu amka usingizini.
  10. predizen

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro vijana wameharibika sana. Kina mama wanalia

    Kwa hiyo ulikula shoga sio
  11. predizen

    JamiiForums Tanzania FAO: Bei ya Chakula Ilifikia Kiwango Cha Juu Kabisa 2022

    Vijana wapewe maeneno ya kulima, trekta za kutosha mbegu bora na uhakika wa masoko baada.... sasa huo mchakato wa kuvipata hivi vitu, hata mwaka waeza isha usiambulie chochote
  12. predizen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dr Ceaser: Wakristo ruksa kuoa mke zaidi ya mmoja

    afundishe wanaume kuikimbia zinaa na kujitolea kumtumikia Mungu maisha yao yote kama wale "masista wa hekalu kuu ka vatican"
  13. predizen

    JamiiForums Tanzania Kuficha pesa Uswisi, ujinga wa kiwango cha juu

    Elimu kubwa sana hii,
  14. predizen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dr Ceaser: Wakristo ruksa kuoa mke zaidi ya mmoja

    kwani kuoa mke wa pili ndo kusema utazishinda tamaa za kimwili?
  15. predizen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dr Ceaser: Wakristo ruksa kuoa mke zaidi ya mmoja

    Awe mfano kwa wengine, aoe mke wa pili
Back
Top Bottom