Recent content by Pre form one

  1. P

    WhatsApp yangu imejifunga mara mbili. Changamoto itakuwa ni nini?

    Ahsante ni kweli natuma sms same kwa watu wengi huenda ndio tatizo ,lakini nimejaribu kusajili kwenye simu nyingine whatsup imekubali kufunguka .Ahsante
  2. P

    WhatsApp yangu imejifunga mara mbili. Changamoto itakuwa ni nini?

    Habari ,Poleni na Majukumu ya kila siku! Nina changamoto moja ya whatsup yangu hii mara ya pili imekua ikiwa locked hivi. Naombeni msaada maana nafahamu humu Kuna wataalamu wengi sana wanaoelewa vizuri haya mambo.Nimeambatanisha picha. Ahsante.
  3. P

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya maziwa mtindi na maziwa fresh

    Kiluvya madukani yatapatikana kwa uhakika na faida IPO nzuri tu mahala pale Wana punguzo kwa anayenunua jumla.
  4. P

    Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Mimi naishi Zanzibar mwaka wa 16 huu na metokea bara ,maneno unayooambiwa ni uongo ,changamoto kubwa ni gharama za maisha ziko juu kwa sababu pesa inapatikana kirahisi na ya kutosha ,kama ukihitaji msaada wowote mambie .
  5. P

    Tunafundisha Tuition , Tunapatikana Tanzania nzima.

    Habari za hasubuhi ndugu wazazi pamoja na walezi.Kama una mtoto wako ambaye ni mzito au hata kama sio mzito lakini unahitaji asome (Home schooling au Home Tuition) huduma hyo inapatikana Tanzania nzima. Kwanini RJ Home Tuition services. 1.Tunasaidia wanafunzi waliochelewa kuzungumza na wale...
  6. P

    Nahitaji mtu anayeweza nisaiida kuaaply PSPTB membership na CPSP

    Wakuu habari zenu ,naomba msaada wa mtu ambaye anauhakika na anaweza kufanya hii kazi .Naomba kama Yuko au ni wewe mwenyewe unicheki kupitia whatsup namba 0743567159.
  7. P

    Accountant at Manufaa Media January, 2024

    Korean translator anahitajika +255 734 992 298 contacts.
  8. P

    Nafasi za Ajira Jeshi la Magereza 2023

    Korean translator anahitajika +255 734 992 298 contacts.
  9. P

    Korean _Kiswahili translator anahitajika

    Anahitajika mtu anayeweza vizuri kutafsiri lugha ya kikorea , kazi itakuepo kuanzia kesho hasubuhi .Mshahara ni makubaliano. Naomba mnisaidie kuniunganisha na muhusika kwa namba +255 734 992 298.Ahsante
  10. P

    Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

    Tako bila sura ni uvimbe na ndevu bila hela ni nyasi
Back
Top Bottom