Recent content by Prayallthetime

  1. Prayallthetime

    Nini kinachofanya Rostam, Kikwete na wana mtandao wengine hadi leo wasikamatwe?

    Nchi ina wenyewe, tukae kwa kutulia haswa sisi masikini jeuri ambao hatuna kitu , Aziz mtu mkubwa leo hii anamiliki mgodi wa Mwadui , kama huna taarifa basi kuwa nayo na watu wanafurushwa daily hapo Mwadui, Kikwete na Mama ni kitu kimoja kwahiyo ambaye angemchukulia hatua ukute wanakula sahani moja.
  2. Prayallthetime

    KERO Mashine ya MRI Mloganzila Hospital ni MBOVU

    Naomba niulize kwanza hicho kipimo cha MRI kinauzwa kiasi gani mpaka kiwepo kimoja hapo hospitalini na kazi yake kuu haswa ni ipi ? Mimi nimefikiri huwenda ni kipimo cha magonjwa makubwa na kinabai kwa uharaka zaidi , naombeni mnisaidie ? Alafu sekta ya afya mbona ina mipesa mingi.
  3. Prayallthetime

    Polepole apuuzwe kuhusu gesi

    Kuna mijitu ni vilaza kwa Taifa letu.
  4. Prayallthetime

    Fahamu Zaidi Kuhusu BATI

    Weka bei mkuu ili tujue na utuwekee location.
  5. Prayallthetime

    Tunaomba wakili Katuga, jembe la Samia, apewe kesi zote za kimataifa, hatutalipa fidia tena

    Siijui sheria lakini kila akisimama Wakili wa serikali ambaye ni Katuga hakuna ninachojifunza ,anapoteza muda wangu na mbs zangu ila akisimama Jembe LISSU kiukweli namheshimu kwanza anaongea kisomi na kisheria zaidi.
  6. Prayallthetime

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Mwanza halina watu wabovu km wahuko chuga .
  7. Prayallthetime

    Agiza Kariakoo kwa bei nafuu

    Uaminifu upo wakutosha ? Kuna dada nimewahi fanya nae biashara ni mwaminifu na anatuma vitu kwa haraka zaidi by two times nimemtumia pesa mara yakwanza elfu 70k nikachukua kiatu cha Air Force na kwa wakati kikanifikia , Juzi kati nimemtumia laki moja na nusu 150k akanitumia Jeans 👖 ya elfu 30k...
  8. Prayallthetime

    GE2025 Mahakama Kuu yapigilia msumari uamuzi kufichwa kwa mashahidi wa Jamhuri katika kesi ya Tundu Lissu

    Nikifika mahakamani sihitaji haki maana haki haipo kama unashitakiwa na Jamhuri ni heri wafanye wanalolitaka.
  9. Prayallthetime

    Nahitaji Ushauri Wenu: Nimejawa na hofu ya ugonjwa wa UKIMWI

    Wapendwa Natanguliza salamu zangu za dhati kwenu, Asee ndugu zanguni nimepima siku ya jana na majibu yamekuja NEGATIVE kwa sasa sitaendelea na kupima na NINASEMA HIVI SITAUZA MECHI IWE KWA KUVAA CD AU KUTOKUVAA , NIMEAMUA KUSALIA NJIA KUU ILI MAISHA YAENDELEE.
  10. Prayallthetime

    GE2025 Wananchi wakutana kushangilia kifo cha Ndugai!

    Kifo ni kifo tu , naomba kililete taharuki, wala addiction yoyote ile , Bora yake mwili utaagwa na nduguze, vp kuhusu Ben saanane , Mdude ,Soka na wengine wengi ? ,
  11. Prayallthetime

    Ushawahi kuipiga kitakatifu? 😁

    Kuna manzi nimewahi kumdinya nadhani hatamani kurudia mchezo , na kwa kweli wacha nijivunie , nilimkula si kawaida , style zote nilimtembezea , nilimfanya akamwaga mara tatu kwa usiku huo huo , lakini ilifikia hatua ananiambia moyo unaenda kasi hivyo anaomba nimsaidie maji anywe , daah sikuamini...
  12. Prayallthetime

    GE2025 Mke wa Naibu Waziri, Dkt. Mollel (CCM) adaiwa kutekwa; Mgombea Udiwani ashambuliwa...

    Wauane tu hata sisi tumepoteza wapendwa wetu ambao wameacha wajane na watoto wao 😥
  13. Prayallthetime

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Nahitaji kujua ujenzi wa gharama za chumba chenye masters ndani yake na sebule moja kuanzia kwenye msingi mpaka kuezeka na gharama za usafi maana nataka nianze kazi .
  14. Prayallthetime

    Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

    Kuna baadhi yao siyo waganga kabisa hii imewahi kunitokea. Siku moja nikazingua kazini , baada yakuzingua nikasimamishwa , mawazo yangu yote nikaona bila mganga hapa sitoboi na nafukuzwa . Basi kule kazini nilivyosimamishwa kwa muda usiojulikana ,nikamtafuta jamaa yangu akaniunganisha na...
Back
Top Bottom