Recent content by prando

  1. P

    Ukifuatilia Ripoti ya pili ya Makinikia, wajue Wanasheria Wakuu wa Tanzania tangu Uhuru

    Kwanzia 5-8 watapona kweli ? +Dr tulia ????????
  2. P

    Mkopo wa kujikimu PSPF

    Mm pia waliniambia ukitaka funiture za ndani baada ya kuanza kukatwa tu utapewa ila nilivyoenda ofisn kwao kuulizia wakaniambia mpka uwe umechangia mika 5 nilichoka.
  3. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kilimo hawabadilishani jamani?au ni ualimu pekee yake.
  4. P

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Dk Harson mwakyembe-Waziri mkuu Mwigulu mchema-waziri wa ujenzi
  5. P

    Matokeo ya kura ya 25.10.2015 lowassa kumshinda magufuli

    Hakuna mgombea yoyote atashinda kwa zaidi ya 60% hakuna maana tunaona hali ilivyo na msishangae hawa jamaa wakafungana na uchaguzi ukarudiwa kwa ngazi ya rais
  6. P

    Magufuli Kumbe Huna Maadili wala Heshima, Hufai kuwa Rais

    Mh magufuli nakupenda sana tena mtendaji mzuri ulijenga barabara ya masama ila haina hata miaka 3 imerudia hali yake ya mavumbi ila si hilo nataka kukuambia nataka kukuambia ebu rudisha heshima ya chama kilicho asisiwa na mwl kambarage hv ni ww kweli unategemewa kuwa mkuu wa nchi na amiri jeshi...
  7. P

    Magufuli Kumbe Huna Maadili wala Heshima, Hufai kuwa Rais

    Ilisikitisha sana ni hili halivumiliki kabisa huyo kijana namuonea huruma sana kama ni muungwana aombe radhi lakin akishupaza shingo ameondoka kwa maombi niliyosikia mtumishi mmoja akiyaomba kuhusu huyo kijana daa amepotea amepotea omba radhi plz mwambieni kama hayumo humu maana anaweza asiweze...
  8. P

    Godbless Lema azua maswali msiba wa Malla

    Yy alikuwa padri/mchungaji
  9. P

    Lowassa asababisha timua timua ITV

    Naomba huyu aliyetoa uzi huu awajibishwe sheria ya mtandao kama itadhibitika ni mchochezi.
  10. P

    UKAWA waongea na Wanahabari, Walalamikia Tume ya Uchaguzi na Rais Kikwete

    Sheria pia inasema msimamizi wa uchaguzi akishajumlisha kura atoke nje atangaze matokeo je atawatangazia akinani matokeo wakati wapiga kura hawatakuwepo au itatumika njia gani kuwaita kusikiliza matokeo naomba ufafanuzi.
  11. P

    NEC: Idadi ya Wapiga Kura bara ni 22,751,292 na Zanzibar ni 503,193

    So bado bao la mkono liko palepale kwa idadi ya vituo na wapiga kura ni tofauti karibu 7ml
Back
Top Bottom