Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 640
Hata mm sikuja.achaga umbea wa uswahilini
Ikiwa inakaribia kuisha week sasa tangu msiba wa aliyekuwa mgombea wa ACT WAZALENDO ndugu Estom Malla jimbo la Arusha kuisha yamekuwepo maswali yasiyo na majibu kuwa Malla alikuwa mgombea na wagombea wenzake wote walifika kuhani msiba na kushiriki mazishi huko Moshi.
Ila mgombea wa CHADEMA God bless Lema hakuonekana kwenye msiba huo tangu ulipo tokea mpaka alipozikwa muda wote Lema alikuwa Arusha akiendelea na kampeni zake. Siku ya mazishi alikuwa mtaa wa Madadii Unga LTD.
Ikiwa inakaribia kuisha week sasa tangu msiba wa aliyekuwa mgombea wa ACT WAZALENDO ndugu Estom Malla jimbo la Arusha kuisha yamekuwepo maswali yasiyo na majibu kuwa Malla alikuwa mgombea na wagombea wenzake wote walifika kuhani msiba na kushiriki mazishi huko Moshi.
Ila mgombea wa CHADEMA God bless Lema hakuonekana kwenye msiba huo tangu ulipo tokea mpaka alipozikwa muda wote Lema alikuwa Arusha akiendelea na kampeni zake. Siku ya mazishi alikuwa mtaa wa Madadii Unga LTD.
unahakili? Ila hujui kuzitumia.Wamemshika pabaya,safari hii ataisoma namba
kifo kisiwe kinga ya mtu , usaliti wa marehemu kwa chadema arusha hakuna aliyeusahau kwahiyo kutokuhudhuria msiba wake isiwe shida , kuna watu walipoteza maisha kwenye sakata hili tusije kujisahaulisha .Ikiwa inakaribia kuisha week sasa tangu msiba wa aliyekuwa mgombea wa ACT WAZALENDO ndugu Estom Malla jimbo la Arusha kuisha yamekuwepo maswali yasiyo na majibu kuwa Malla alikuwa mgombea na wagombea wenzake wote walifika kuhani msiba na kushiriki mazishi huko Moshi.
Ila mgombea wa CHADEMA God bless Lema hakuonekana kwenye msiba huo tangu ulipo tokea mpaka alipozikwa muda wote Lema alikuwa Arusha akiendelea na kampeni zake. Siku ya mazishi alikuwa mtaa wa Madadii Unga LTD.
swali zuri sana!tunaishi maisha ya kinafiki sana."wache wafu wazike wafu wao"kwani ilikuwa lazima afike msibani?
lema alikuwa anaumwa mafua