Recent content by pozzy

  1. pozzy

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mtu Mzito unajua me cjakuelewa bado em nipe tofauti kati ya uchawi na uganga wa jadi??
  2. pozzy

    Kwanini maskini siku zote haeshimiwi

    Sasa me ndo nataka nijue kwanini inamaana hela ina thamai kuzidi ubinadamu???
  3. pozzy

    Kwanini maskini siku zote haeshimiwi

    Hapo hujaelewa mada hatujaongelea kosa la kuwa masikini umenielewa?/? Ngoja nikuulize TZ inapochukuliwa kama nchi maskini ina maana hkuna matajiri Tz???? Pia kama kama unasema kupambana kuondoa umaskini kutokana na mada kwa nini maskini akifanya kitu cha kipesa anaonekana hakimfai...
  4. pozzy

    Kwanini Harmorapper hataki kusaini WCB wala WCBOO

    Kaa kufatilia maisha ya watu ukose kutafuta ya kwako utakula police
  5. pozzy

    Kwanini maskini siku zote haeshimiwi

    Lakini hata ukiongelea ngazi ya familia jiangalie ngazi ya taifa Tanzania mnachukuliwaje na mataifa mengine????
  6. pozzy

    Ndoto zangu za kuoa awamu hii ya tano zimeyeyuka

    Mbona kama vile mmeona tiyari Ila mwanaume siku zote haogopi matumizi sema we nahisi ni mroho!
  7. pozzy

    Kwanini maskini siku zote haeshimiwi

    Point well taken
  8. pozzy

    Kwanini maskini siku zote haeshimiwi

    We toa point yenye maana
  9. pozzy

    Kwanini maskini siku zote haeshimiwi

    Wewe uneyesema hvo ndo mjinga acha upumbavu kabisa kwa kauli hizo ndo mnapelekea wizi wa mali za umma
  10. pozzy

    Kwanini maskini siku zote haeshimiwi

    Yaani sijui ni ubaguzi
  11. pozzy

    Diwani wa Kata ya Iseke(CHADEMA), Emanuel Jingu ahukumiwa kwenda jela miezi mitano

    Mkuu unazingua tuu hueanda alitolewa kauli za upumbavu no body is perfect
  12. pozzy

    Naomba kujuua undani wa chanzo cha Misimu

    Ahsante sana mkuu
  13. pozzy

    The History of God

    Tatizo letu tulijiwekea tabia ya kusubiri kufundishwa bila kujitafutia na kuwa wabunifu Huyu anayesema mungu aliumba anga inaonekana hajaelewa mada kwa undani kwa sababu ukifuatilia kihistoria inasemekana hapo mwanzo kulikuwa na dini mbili ambazo ni Roman na Islamic lakini cha kushangaza...
  14. pozzy

    The History of God

    Ukweli ni kubaki njia panda mkuu sio kila kitu unaamini maana mimi kwa mtazamo wangu naona dini ililetwa ku instill peace tu kwenye jamii bas
  15. pozzy

    The History of God

    Ahsante sana mkuu nimepata mwelekeo
Back
Top Bottom