Watanzania kueni makini,wanyarwanda wengi sana humu jf,nawao ndio waanzilishi wakubwa wa mada kama hizi,kujaribu kuaminisha watu kwamba kagame na karwanda ni bora kuliko nchi zingine.Tuwapuuze hawa watu.Mambo yao wapeleke kwenye forums zao.Mbona sisi hatujishughulishi na forums zao????
Mkuu nilidhani hili tatizo ninalo Mimi tu, Mimi sio ndugu tu hadi marafiki long story short. tangu nije ughaibuni kuna ndugu walianza kunitafuta ambao kabla hata salamu sikuwai kuipata. cha ajabu ni kwamba mara kadhaa wamekua wakiomba hela ukiwatumia hata kujibu kama wamepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.