Recent content by powercable

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kubadili akaunti ya malipo ya mshahara kutoka NMB kwenda CRDB

    Andika barua ya kuomba kubadilisha account kwenda kwa mkurugenzi rasirimali watu.
  2. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanawake wa sasa hawakupi msaada mpaka alale na wewe kwanza

    Sema kweli, wewe sio LG HDTV kweli?
  3. P

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Vituo vya mwendokasi ya Mbagala vinajengwa chini ya kiwango

    Broo una personal interest, unatete nini apo!!
  4. P

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Vituo vya mwendokasi ya Mbagala vinajengwa chini ya kiwango

    Kichwa cha uzi kinajitosheleza, wahusika chukueni hatua mapema. Zege lilotumika cement ni kidogo sana, limeanza kubomoka kabla ya matumizi. Screws, bati na zile bars miaka miwili tu zitakua zishahalibika na kutu.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Website ukiona nzito ujue wasaka asali wengi wanaingia mzingani kuchungulia PDF mda uo, sio kwamba wana upload li pdf jipya. Tuwe wavumilivu tu wananzengo.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwa point yako, ata sup vyuoni zifutwe hazina maana.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Acha masihara mzee, utumishi wamesaidia sana kuondoa ukiritimba, mimi nna washkaji zangu wamepata kazi kupitia utmishi, tena taasisi za mipunga mirefu TPA, TPDC na TRA. By the way utumishi wao wana oversee tu mchakato mzima wa ajira kuondoa rushwa, kwenye ile panel ya interview watu wa utumishi...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuhama kwa Watumishi wa umma kwenye mashirika ya umma ukoje?

    Tatizo ukipitisha barua kwao kuna kaurasimu flani ivi, inaweza chukua ata wiki tatu wasiisaign, mpaka deadline ya kufanya application inapita.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Aache kazi private anakolipwa 1.6m au aende government atakapolipwa laki 7.6?

    Kuna mwanangu alikua private analipwa 1.1M take home, plus per diem za kutosha akitoka nje ya Dar, akapata kazi government akahama, mshaara laki 6, saivi utamuonea huruma alivopauka, anaishi kwa budget kali sana. Mwambie wife abaki private afanye uwekezaji tu, job security ni poor mindset.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuhama kwa Watumishi wa umma kwenye mashirika ya umma ukoje?

    Hapana kaka sijapata, nmeuliza swali kutokana na mfano uliotoa wa kutoka UDSM kwenda TANESCO. But nlifanya interview TANESCO matokeo hayajatoka bado.. Pia sikupitisha application letter kwa mwajili wangu wa sasa, nlitakau kujua utaratibu in case niki pass interview.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuhama kwa Watumishi wa umma kwenye mashirika ya umma ukoje?

    Je baada y kupata nafasi TANESCO kupitia interview, taratibu zipoje ili uweze kutoka UDSM kwenda TANESCO.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    TPDC horaa mpaka mda huu
  13. P

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Hapana, ni diploma za Engineerings. Wanaofanya kazi kwenye laboratory or workshop za vyuo vikuu.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Ijue formula rahisi ya kujua jambo kama ni baya au zuri

    Tatizo la kua na akiri mingi ila ikose matumizi, ndio unafikilia vitu vya ajabu kama ivi.
Back
Top Bottom