Ulikuwa wapi kutoa tamko kabla? Mmechapisga syllabus, vitabu then mkavitawanya... Mmeanzisha komb mpya mkapekeka wanafunzi.. Mmeanzisha masomo Mapya yakaanza kufundishwa...then Leo unakuja na hii pumba ati mpka mwakan
Wanafnz am so mliwachagua kwa Kombo mpya mnawahamishia Kombo zingine na su...
Gb whtasp, fmwhtsp, yoehatsp zote hizi unaweza kuset Ile view once ikawa inactive.. Na hata Ile delete for all ikawa inactive pia. Mtu Ana delete fir all but wew unabak nazo... But pia inauwezo wa kudwnload status za watu.
Sijui kwa nn official what's hawana hizi features
Memes zenye we anaandika kwa mafumbo... Msomaji ndonunatafsir mwenyewe... Mfno alivosema ukikuta mdada Ana VYUMBA viwil anapangisha Ingia vyote.. Sasa Hapo kamdhalilishaje?
Wanazuia kwa sabab za kiusalama... Ikitokea mmevamiwa na adui anafaham. Geogrohy ya Hapo ni rahis kukuzid maarifa...
Ni Sawa na sehem za kambi za jeshi huwez piha picha.. Au sehem zenye vinu vya umeme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.