Recent content by popomwitu

  1. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Solution mbona ni simple chukua vitu vyako muache akahangaike na msela wake..😂
  2. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Ndoto unazoota huenda ni onyo na tahadhari juu ya kinachokuja kukutokea kwenye maisha yako yajayo usizipuuze

    Chai imeanzia hapa. Biashara yako ilikuwa na ukubwa gani? Uliweka utaratibu upi wa kuratibu mapato na matumizi yako, hayo mazonge ulikuwa unayaonaje onaje?
  3. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Ni neno gani la mwisho alilosema dereva huyu?

    😂😂😂
  4. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Being alone is superpower

    Mwanagenzi, there is a moment of being alone and one of being within a community. Don't ignore any of the two, it's important for your health.
  5. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Angellah Kairuki: Matumizi ya Internet yameongezeka kwa asilimia 19.5, watumiaji wafikia Milioni 58.9

    Watumiaji wameongezeka, na hizo bei za mabundle mbona hazishuki? Ndugu yetu Elon musk na starlink yake tumefikia wapi?
  6. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mkurugenzi wa TTCL, Moremi Marwa, kwa juhudi kubwa za usambazaji wa fiber internet mitaani, yenye bei nafuu na kasi kubwa

    Kwenye hili, wanastahili pongezi nyingi. Nategemea Kwa siku za baadae washushe bei mpaka watu wa hali ya chini waweze kuafford matumizi ya internet.
  7. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: AFCON 2027 huenda ikapelekwa South Africa

    Nachoka Mimi..💔 fisiemu wameamua kutumia kila mbinu kuhakikisha Tanzania inakuwa ya mwisho kwenye kila nyanja ya maendeleo.
  8. popomwitu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mambo muhimu ambayo Tume ya Uchunguzi ya Jaji Chande imeyapuuza

    Kaka vitu ambavyo Jaji Chande ameshawahi kufanya vya kujiabisha, hili limeshika namba 1.
  9. popomwitu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye single mother kanipiga tukio. Wakuu msaada, sielewi nichukue maamuzi gani?

    Mkuu una akili timamu? Huko nchi Jirani ulikuwa umeikata ukaiweka kwenye fridge? Na huyo mwenzio huko nyuma ulimuachaje? Kwasababu umeomba ushauri, Cha kukushauri; Kaa muone mtalea vipi watoto wenu, ushauri mwingine, Kama hamjafunga ndoa, msifunge; maana huyo mwanamke hakufai na wewe haumfai.
  10. popomwitu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Mmeshuhudia siku tatu zile. Hakukuwa na harusi, kitchen party wala mikusanyiko kwenye mabaa. Zilikuwa siku tatu nzito

    Bila Haki hakuna Amani, bila Amani hakuna utulivu, na bila utulivu hakuna shughuli za kijamii. Hapo naona ameruka Hilo meno la kwanza .😂👍🏽
  11. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri (kilaza) ni rahisi sana kudanganywa

    Licha ya kunufaika Kutoka Kwa dogo, lakini hakika haukuwa mtoto mzuri. Unless otherwise haujabadilika mkuu basi haupaswi kuwa kwenye taasisi yeyote, maana wewe ni mbinafsi na ni fisadi pia.
  12. popomwitu

    JamiiForums Tanzania Kama nikisema Rais Samia ana NEPOTISM, nitakuwa nakosea?

    Kwa nchi yenye watu 63+ Millions mkuu?
  13. popomwitu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna Afisa UTUMISHI Kibaha Vijijini anasumbua Watumishi, anatengeneza mazingira ya rushwa

    Ulichilokiandika umekifikiria vizuri, au baada ya kushiba kande ndio umeandika?.
Back
Top Bottom