Being alone is superpower

Being alone is superpower

You can't hurt someone who is comfortable being alone

If you disrespect them they will cut you off

When cross their boundaries they'll walk away

When you try to manipulate them they'll gladly hold the door open for you
Because they don't need you in their life

They just choose you to let you in

when someone have that level of peace how you can hurt them?
Mwanagenzi, there is a moment of being alone and one of being within a community. Don't ignore any of the two, it's important for your health.
 
Sijui unazungumzia nn Mkuu 😎
images.jpeg
 
You can't hurt someone who is comfortable being alone

If you disrespect them they will cut you off

When cross their boundaries they'll walk away

When you try to manipulate them they'll gladly hold the door open for you
Because they don't need you in their life

They just choose you to let you in

when someone have that level of peace how you can hurt them?
Bro.
Upweke sio dili.
Ukikua utajua tunamaanisha nini....
 
ubinafsi ni moyo
being alone ni hali
unazungumzia vitu viwili tofauti
Binafsi na enjoy sana nikiwa peke yangu na mara nyingi nakuwa na amani,huwa nikichanganyika tu lazima nipate matatizo.
Kuna kipindi mama akanishauri nichanganyike na watu basi nyumba niliyopanga wakati naanza maisha kulikuwa na sehemu nje wanacheza draft.Kulikuwa na watu wazima na baadhi ya wazee.KU.......BABABAKE kuna mzee akaenda kuchungulia kaona nna kitu NIKAPIGWA STROKE YA KIBABE nilipooza kuanzia nywele mpaka vidole vya miguuni ngoma nikaenda kuichomolea Tanga.Hadi leo yule MZEE haamini kama niko HAI nikiwa naweza kutembea.
Haya tukio jingine niko kwangu wife ananiambia jichanganye nikasema sawa basi kama unavyojua majirani zangu wengi ni wanajeshi.Basi kuna mwanajeshi mmoja karudi zake CONGO na 60m akaena Mke wangu mzuri hafai kuwa na mimi akawa anachat na mimi kupitia simu ya mke wangu bila ya yeye kujua coz Mke wangu hana mda na simu mpaka mda mwingine ananiuliza "simu yangu iko wapi "Basi bwana yule mwanajeshi nikawa naenda nae mule mule mwisho wa likawa linatoa location za kuona na mke wangu Kwasababu lilichukua likizo baada ya kurudi CONGO nikasubiri amalize arudi mtaani na alivyorudi tu nikamtumia meseji "WEWE KU..........MA UNACHAT NA MIMI SIO MKE WANGU NA NILIKATAA MAZOEA NA WEWE KWASABABU NILIGUNDUA NI MPUMBAVU NYUMBANI KWAKU USIKANYAGE TENA"
Uzuri wake meseji alikuwa anatuma za kawaida sio WhatsApp so hawezi kuzifuta,alibadirisha njia mbona halafu tukikutana njiani namuangalia macho makavu bila kupepesa macho.
NB;SIWEZI KUJICHANGANYA NA NDEZI NA WAPUMBAVU BORA PEKE YANGU
 
Bro.
Upweke sio dili.
Ukikua utajua tunamaanisha nini....
nikue mara ngapi alafu mim sio burooo
Binafsi na enjoy sana nikiwa peke yangu na mara nyingi nakuwa na amani,huwa nikichanganyika tu lazima nipate matatizo.
Kuna kipindi mama akanishauri nichanganyike na watu basi nyumba niliyopanga wakati naanza maisha kulikuwa na sehemu nje wanacheza draft.Kulikuwa na watu wazima na baadhi ya wazee.KU.......BABABAKE kuna mzee akaenda kuchungulia kaona nna kitu NIKAPIGWA STROKE YA KIBABE nilipooza kuanzia nywele mpaka vidole vya miguuni ngoma nikaenda kuichomolea Tanga.Hadi leo yule MZEE haamini kama niko HAI nikiwa naweza kutembea.
Haya tukio jingine niko kwangu wife ananiambia jichanganye nikasema sawa basi kama unavyojua majirani zangu wengi ni wanajeshi.Basi kuna mwanajeshi mmoja karudi zake CONGO na 60m akaena Mke wangu mzuri hafai kuwa na mimi akawa anachat na mimi kupitia simu ya mke wangu bila ya yeye kujua coz Mke wangu hana mda na simu mpaka mda mwingine ananiuliza "simu yangu iko wapi "Basi bwana yule mwanajeshi nikawa naenda nae mule mule mwisho wa likawa linatoa location za kuona na mke wangu Kwasababu lilichukua likizo baada ya kurudi CONGO nikasubiri amalize arudi mtaani na alivyorudi tu nikamtumia meseji "WEWE KU..........MA UNACHAT NA MIMI SIO MKE WANGU NA NILIKATAA MAZOEA NA WEWE KWASABABU NILIGUNDUA NI MPUMBAVU NYUMBANI KWAKU USIKANYAGE TENA"
Uzuri wake meseji alikuwa anatuma za kawaida sio WhatsApp so hawezi kuzifuta,alibadirisha njia mbona halafu tukikutana njiani namuangalia macho makavu bila kupepesa macho.
NB;SIWEZI KUJICHANGANYA NA NDEZI NA WAPUMBAVU BORA PEKE YANGU
mie kama wew tu walishataka kunipeleka kwa mungu baba mara tatu ikashindikana na bado waniandama
 
nikue mara ngapi alafu mim sio burooo

mie kama wew tu walishataka kunipeleka kwa mungu baba mara tatu ikashindikana na bado waniandama
Ha ha ha ha!
Ndugu nimechomoa STROKE 3 ambazo ni clearly chances yaani mimi wangekuwa washazika zamani.Haya maisha kuna watu wapumbavu sana yaani wewe huna habari naye lakini anaenda kukupigia ramli.Nimesha apa sitojichanganya tena coz kuna KENGE hazina akili
 
Ha ha ha ha!
Ndugu nimechomoa STROKE 3 ambazo ni clearly chances yaani mimi wangekuwa washazika zamani.Haya maisha kuna watu wapumbavu sana yaani wewe huna habari naye lakini anaenda kukupigia ramli.Nimesha apa sitojichanganya tena coz kuna KENGE hazina akili
pole sana ndio binadamu hao
 
Back
Top Bottom