Mimi nina solar panel yenye cells 48 ikiwa na 150w pia battery ya 120w charge controller ya 30a! Swali langu endapo nitapata inverter je nitaweza ku run tv ya inch 32 yenye 45w, kin'gamuzi 15w, kwa masaa mangapi kwa kipindi cha jua kuchomoza na kabla ya kuzama?
Jamani mimi binafsi naombeni mwenye wimbo wa Edina by Magereza Jazz afanye kuutuma kwa njia yoyote anayoona itafaa, kama link tuma, kama utaweza kuattach hapa sawa kama utanitumia kwa email basi tuma hapa mwalusasi@gmail.com Mpaka nafikia kuuomba kwenu huu wimbo ni kwa sababu ninaupenda mno pili...
Boss umenipa maelezo ya kitaalam sana, baadhi nimeelewa lakini huko kwenye kanuni za kimahesabu siko vizuri sana, Lakini pia nataka kujua upotevu huo wa umeme unaweza kuwa zaidi,kuwasawa, au kuwa pungufu tukilinganisha na ule umeme utakaopotea kwenye wireling ya sola?
Wakuu natarajia kupata panel ya 150w, Battery 120ah na Charger Controller 15a, mahali ninakoenda kufunga umeme haujafika ila nyuma tayari ina wireling ya Tanesco, je wireling hiyo itafaa kwa matuminzi ya DC pekee?
Kumbuka Zuku Decoder ipo katika Pay Tv Subscription nadhani kisheria ni makosa kutumia decoder hiyo ikiwemo Azam, Ting, Startimes, n.k. Hivyo kama unapenda fta channels tatuta receiver ya FTA na dish kubwa upate kilicho cha halali!
Kuzipata hicho channels unatakiwa kuwa na dish kuanzia futi 6 na receiver ya FTA lakini nzuri zaidi ni ile inayo support keys kama biss, powervu na dre
Yaa unaweza kuwa sahihi kwa sababu miaka michache nyuma walijiita Freesat na Sasa wamebadili Brand wanajiita Gt Media. Ila nilichonacho mimi kina power ON/OFF
Haya ndo mambo nayoyataka, Jamaa upo vizuri sana! Mimi bana nipo iringa mjini, kuwapata mafundi dish wazoefu ni shida, Yaani unamwita fundi aje akufungie dishi yeye anakuja kwa kukariri position anayoijua sasa utapomwambia kuna position yako ulioichagua hapo utasikia amesahau spana mara pima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.