Recent content by Popomtata

  1. Popomtata

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Bitnest Project na mapinduzi ya uwekezaji kupitia Blockchain.

    ✔13 BitNest's Core Security Guarantees Trusted worldwide 💡✅️Zero risk return model ✅️100% decentralized, no one, not even the creator of the code, can modify the working of BitNest’s smart contracts. 💡✅️Autonomy ✅️The BitNest ecosystem is built around smart contracts and NFTs technologies...
  2. Popomtata

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Bitnest Project na mapinduzi ya uwekezaji kupitia Blockchain.

    Jifunze teknolojia sio unakurupuka kwa hisia hasi, hujui chochote unalopoka maandazi
  3. Popomtata

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Bitnest Project na mapinduzi ya uwekezaji kupitia Blockchain.

    📢 UWEKEZAJI WA KIPEKEE: BITNEST NA BITLOOP! 🚀 Je, unatafuta fursa ya kufaidi kwa kasi na kwa uhakika katika ulimwengu wa DeFi (Decentralized Finance)? Bitnest inakuletea mfumo wa kipekee wa uwekezaji wenye faida kubwa na salama kupitia bidhaa yake ya Bitloop! ### 🔹 KWA NINI BITNEST? ✅...
  4. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je solar panel ya 100watts unaweza kutumia vifaa gani?

    Mimi nina solar panel yenye cells 48 ikiwa na 150w pia battery ya 120w charge controller ya 30a! Swali langu endapo nitapata inverter je nitaweza ku run tv ya inch 32 yenye 45w, kin'gamuzi 15w, kwa masaa mangapi kwa kipindi cha jua kuchomoza na kabla ya kuzama?
  5. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    A Asante sana mkuu ndo maana naipenda Jf
  6. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Jamani mimi binafsi naombeni mwenye wimbo wa Edina by Magereza Jazz afanye kuutuma kwa njia yoyote anayoona itafaa, kama link tuma, kama utaweza kuattach hapa sawa kama utanitumia kwa email basi tuma hapa mwalusasi@gmail.com Mpaka nafikia kuuomba kwenu huu wimbo ni kwa sababu ninaupenda mno pili...
  7. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wireling bora ya Sola!

    Asante Mkuu
  8. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wireling bora ya Sola!

    Boss umenipa maelezo ya kitaalam sana, baadhi nimeelewa lakini huko kwenye kanuni za kimahesabu siko vizuri sana, Lakini pia nataka kujua upotevu huo wa umeme unaweza kuwa zaidi,kuwasawa, au kuwa pungufu tukilinganisha na ule umeme utakaopotea kwenye wireling ya sola?
  9. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wireling bora ya Sola!

  10. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wireling bora ya Sola!

    Kwa hiyo kwa matuminzi ya DC pekee haitafaa mpaka niwe na Inverter?
  11. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wireling bora ya Sola!

    Wakuu natarajia kupata panel ya 150w, Battery 120ah na Charger Controller 15a, mahali ninakoenda kufunga umeme haujafika ila nyuma tayari ina wireling ya Tanesco, je wireling hiyo itafaa kwa matuminzi ya DC pekee?
  12. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

    Kumbuka Zuku Decoder ipo katika Pay Tv Subscription nadhani kisheria ni makosa kutumia decoder hiyo ikiwemo Azam, Ting, Startimes, n.k. Hivyo kama unapenda fta channels tatuta receiver ya FTA na dish kubwa upate kilicho cha halali!
  13. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

    Kuzipata hicho channels unatakiwa kuwa na dish kuanzia futi 6 na receiver ya FTA lakini nzuri zaidi ni ile inayo support keys kama biss, powervu na dre
  14. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

    Combo
  15. Popomtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

    Yaa unaweza kuwa sahihi kwa sababu miaka michache nyuma walijiita Freesat na Sasa wamebadili Brand wanajiita Gt Media. Ila nilichonacho mimi kina power ON/OFF
Back
Top Bottom