Kuna kitu kimoja ambacho ni cha kweli kabisa maishani,ukiona mume au mke anatoka nje ya ndoa ujue ni ubinafsi na namna ya kuukwepa ukweli so anatafuta faraja ya muda wakati akili haijamkaa vizuri. Unajua tunapokuwa hatujaingia kwenye ndoa huwa tunajenga kitu akilini kwamba ndoa ni kama...
Kipindi cha chuma hawa askari walikuwa na ujasiri wa kumalizana na Hawa Wapuuzi huko huko site na walikuwa na mtu pale juu wa kuwalinda na kuwapigania. Sasa hivi hata wao wanaona hizo harakati tu za kuwatoa huko magerezani wahalifu wenye vinasaba na wakubwa huku wakielekezwa wapunguze kesi na...
Ni mwanaume mpuuzi tu na mwenye akili za kitoto anaweza kufanya upumbavu aliofanya huyo mjinga. Angekuwa Ndio amemfanyia mwanangu ningemalizana nae kiume na pengine asingekuwepo hapa kusimulia upuuzi wake
Mngeshinda mechi zenu Huu upupu msingekuwa mnahangaika nao kwa sasa.tatizo mmeshindwa kichwa mechi zenu na wachezaji wenu magalasa now mnahangaika kutafuta sababu za kipuuzi kujifariji. Kama muda huu Ningekuwa mnaongoza pointu nyingi Simba hata angepangiwa kucheza hadi septemba isingewasumbua
Wewe inaonekana unaishi kwa kaka yako pamoja na huyo mdogo mtu na kwa sababu wewe ni domo zege na unapenda vya kunyonga ukaamua kuchekacheka na yeye akachekacheka mkajikuta mmeduuu, yaani hiyo inaitwa hakuna kutongoza... Toka nenda kaanze maisha ya kujitegemea utaona mali mpya sokoni acha...
Yule walisema anagawa tu pesa kama zake bila kufuata sheria sasa huyu kwa sababu ni rais wa matajiri na wawekezaji sheria zenu hizo za wanyonge hazimuhusu ! Kazi iendelee
Aendelee tu kuwadharau na majibu yake atayapata 2025.kama mnajidanganya kwamba kilichotokea kwenye msiba wa JPM kilikuwa ni maigizo mkawapuuza Watanzania masikini mkawa bize na hao 'wawekezaji'majibu mtayapata next election
kama ccm leo wameamua kwa makusudi mazima ya kumpuuza mtu aliyewanusuru...
Na gesi Iko ntwara !!! Yaani wa mtwara inapopatikana gesi hajapata bado unasainiwa mkataba wa kumpelekea wa mombasa ! Sasa hao wawekezaji tunawajengea rassura gani ? Au labda kuna wengine hatujaelewa mahali... Maana tangu waitwe wawekezaji waliojitokeza kwa pupa ni kama wale wa tani moja kule...
Tena mama anaona Rostam mwenyewe mwenye pesa zake wanavyomzingua sebuse sisi akina yakhee ? Mimi Nina marafiki kadhaa wakenya walikuja Tanzania kizembe tu na mitaji ya ngama mmojawapo alianzisha kibiashara kama vile vya forever living kuuza sijui virutubisho na ushauri nasaha sasa hivi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.