Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Sutra mwengine huyo au?Atakuwa ndo yeye
Sutra mwengine huyo au?Atakuwa ndo yeye
Wewe utakuwa ni mwalabu au beberu lisilopenda waafrikaHili la kenya mama kaniangusha sana.
Sutra mwengine huyo au?
Sutra huyo mpya?Ndio
Chadema ni tatizo kubwa sana katika nchi hii. Ni waongo,wachonganishi,wazandiki na wanafurahia nchi ikipata matatizo. Tangu wafurahie magaidi ya Kibiti kuua watu sina hamu nao kabisa.Chadema mmeanza, nani kamchukia? Kusema ukweli iwe nongwa
Kenya sio rafiki,hajawahi kua rafiki.put on your school uniform urudi shule huenda ukaelewaWewe utakuwa ni mwalabu au beberu lisilopenda waafrika
Waafrika ni marafiki na ni ndugu hivyo ndivyo tunavyohubiriwa Na CCM au Leo wimbo ni mwengine??Kenya sio rafiki,hajawahi kua rafiki.put on your school uniform urudi shule huenda ukaelewa
Mbona Nyinyi mnafurahia kuuwa watu Zanzibar?Chadema ni tatizo kubwa sana katika nchi hii. Ni waongo,wachonganishi,wazandiki na wanafurahia nchi ikipata matatizo. Tangu walifurahia magaidi ya Kibiti kuua watu sina hamu nao kabisa.
Bado uko kwenye hangover ya siasa za dhalimu, acha watu wafanye biashara, ww baki unalinda kaburi hapo chattle.TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA
Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.
Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.
Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).
Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.
Tutarajie
👉 Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
👉 Watalii kurejea Kenya
👉 Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
👉 Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
👉 Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
👉 na kadhalika.
Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Nimeona Uhuru ameruhusu mahindi kuuzwa Kenya inaonyesha aflatoxin imeisha!TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA
Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.
Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.
Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).
Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.
Tutarajie
Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
Watalii kurejea Kenya
Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
na kadhalika.
Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Pumbavu kabisaTANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA
Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.
Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.
Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).
Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.
Tutarajie
Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
Watalii kurejea Kenya
Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
na kadhalika.
Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Duniani ya sasa itaongozwa na watu wenye brain na sio wale wenye mawazo ya uwoga na fear of unknown!TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA
Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.
Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.
Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).
Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.
Tutarajie
Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
Watalii kurejea Kenya
Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
na kadhalika.
Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Hilo ndio nenoNi waoga tu, wanahisi atawanyang'anya mkate waliozoea kula enzi ya Mwendazake!!
Kumbe nabishana na mbumbumbu. Hutaki kutoa statistic unaimba ma propaganda ya Magufuli ambayo mwisho wa siku hata msaidizi wake wa karibu alikuja kumuumbua juzi.
, GDP inabadilika ila ninapoposema final namaanisha final mwisho wa mwaka husika, GDP kipindi cha Magufuli haiukuwahi kuvuka 63 B, sasa 63 B haiwezi kuwa aproximated to 70 B. Magufuli ange maintain ile rate ya ukuaji ya uchumi ya Mkapa na Kikwete leo hii uchumi wetu ulitakiwa uwe kwenye 80B ikikaribia 90B . ila alihbaribu uchumi akawa anatoa takwimu feki na kupitisha sheria za kulinda hizo takwimu fake.
nabishana na mbumbumbu. Hutaki kutoa statistic unaimba ma propaganda ya Magufuli ambayo mwisho wa siku hata msaidizi wake wa karibu alikuja kumuumbua juzi.
, GDP inabadilika ila ninapoposema final namaanisha final mwisho wa mwaka husika, GDP kipindi cha Magufuli haiukuwahi kuvuka 63 B, sasa 63 B haiwezi kuwa aproximated to 70 B.
Acha ujinga wewe. Hakuna nchi inayoishi bila kutegemeana na wenzake? Shetani wewe. Unajodai una madini wakati bila wazungu hizo ni kokomo za kuchezea mdako tu???TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA
Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.
Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.
Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).
Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.
Tutarajie
👉 Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
👉 Watalii kurejea Kenya
👉 Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
👉 Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
👉 Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
👉 na kadhalika.
Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Na gesi Iko ntwara !!! Yaani wa mtwara inapopatikana gesi hajapata bado unasainiwa mkataba wa kumpelekea wa mombasa ! Sasa hao wawekezaji tunawajengea rassura gani ? Au labda kuna wengine hatujaelewa mahali... Maana tangu waitwe wawekezaji waliojitokeza kwa pupa ni kama wale wa tani moja kule baharini iliyogeuka ghafla kilo kadhaa !!!!Mimi hapo walipo tia Dole kwenye gesi wakati Dangote hana gesi pale Mtwara nikashindwa kuelewa.
nimekuambia rate ya ukuaji ilikuwa ndogo chini ya uongozi wa Magufuli, au hujui maana ya rate?amechukua uchumi from $48.5B to 63B so uchumi umekufaje apo? are you mentally fit?