mrubwavwasy
Senior Member
- Apr 14, 2021
- 118
- 192
Haiwezekan matches za Simba na title contenders ziwekwe kwa mazingira haya! Huu ni uhuni!
Ligi ishaharibiwa na TFF, mimi nshaipotezea, siwez angalia huo ugoro!Haiwezekan matches za Simba na title contenders ziwekwe kwa mazingira haya! Huu ni uhuni!View attachment 1789163
Nao kwann wameiweka match na Azam mwishon! Kweli hii ratiba mnyama anatengenezewa mbeleko!Ligi ishaharibiwa na TFF, mimi nshaipotezea, siwez angalia huo ugoro!
Huenda kuna FA hapo katikati.Sielewi kwanini baada ya tarehe 3 simba anakuwa na mechi tarehe 19 tatizo sio Simba kubebwa ila walioko bodi ya ligi hawana uwezo
Labda tusubiriHuenda kuna FA hapo katikati.
Utopolo mmeanza kuteseka, imewakata hiyo, badala ya kushughulikia matatizo yenu mliyo nayo mnashughulikia mafanikio ya MNYAMA, hii imewakata.Haiwezekan matches za Simba na title contenders ziwekwe kwa mazingira haya! Huu ni uhuni!View attachment 1789163
Nyie tatizo lenu mnaangalia mambo ya Simba badala ya kupigania hiyo nafasi ya pili,na kwa ujinga mnaondekeza hata Kombe la shirikisho hamchukui. Simba wakishinda mechi mbili tu bingwa endeleeni tu kulishana upepo. Hivi ule mpango wenu wa kuhamia Zanzibar uliishia wapi?Haiwezekan matches za Simba na title contenders ziwekwe kwa mazingira haya! Huu ni uhuni!View attachment 1789163
Hata kama kuna FA lakini hapo kuna gap la siku 16 Inamaana simba itacheza michezo miwili ya FA mpaka waweke gap lote hilo?Huenda kuna FA hapo katikati.
Kwani ya yanga ikoje? leteni tuilinganishe.Hata kama kuna FA lakini hapo kuna gap la siku 16 Inamaana simba itacheza michezo miwili ya FA mpaka waweke gap lote hilo?
Sijajua ipoje ngoja niitafute nikipata niweke tulinganisheKwani ya yanga ikoje? leteni tuilinganishe.
Mngeshinda mechi zenu Huu upupu msingekuwa mnahangaika nao kwa sasa.tatizo mmeshindwa kichwa mechi zenu na wachezaji wenu magalasa now mnahangaika kutafuta sababu za kipuuzi kujifariji. Kama muda huu Ningekuwa mnaongoza pointu nyingi Simba hata angepangiwa kucheza hadi septemba isingewasumbuaNao kwann wameiweka match na Azam mwishon! Kweli hii ratiba mnyama anatengenezewa mbeleko!
Tunataka kwanza maamuzi ya kesi 8 mlizokumbatia ndo mechi ya simba na yanga ipigwe. Vinginevyo mtafute wa kucheza naye.Malalamiko fc