Hii ratiba TFF wamemtengenezea Simba mazingira ya kuchukua ubingwa mapema kirahisi kabisa

mrubwavwasy

Senior Member
Apr 14, 2021
118
192
Haiwezekan matches za Simba na title contenders ziwekwe kwa mazingira haya! Huu ni uhuni!

FB_IMG_16213131635235546.jpg

 
Haiwezekan matches za Simba na title contenders ziwekwe kwa mazingira haya! Huu ni uhuni!View attachment 1789163
Nyie tatizo lenu mnaangalia mambo ya Simba badala ya kupigania hiyo nafasi ya pili,na kwa ujinga mnaondekeza hata Kombe la shirikisho hamchukui. Simba wakishinda mechi mbili tu bingwa endeleeni tu kulishana upepo. Hivi ule mpango wenu wa kuhamia Zanzibar uliishia wapi?
 
Nao kwann wameiweka match na Azam mwishon! Kweli hii ratiba mnyama anatengenezewa mbeleko!
Mngeshinda mechi zenu Huu upupu msingekuwa mnahangaika nao kwa sasa.tatizo mmeshindwa kichwa mechi zenu na wachezaji wenu magalasa now mnahangaika kutafuta sababu za kipuuzi kujifariji. Kama muda huu Ningekuwa mnaongoza pointu nyingi Simba hata angepangiwa kucheza hadi septemba isingewasumbua
 
Kwani hapo shida iko wapi? Angepangiwa kucheza na timu za daraja la pili ungekuwa sawa, sasa kama anacheza na timu zile zile wanazocheza nazo wengine upendeleo uko wapi!
 
Back
Top Bottom