Asante mzee Rembel kusaidia chama chetu ccm ili kiongoze harakati za mabadiliko.tulioko vijijini tunasononeka sana tuonapo viongozi wetu wa CCM wanaposhindwa kujenga chama na kuongoza mabadiliko na kuviachia vyama vya upinzani vikijenga hoja nzito mpaka tumashindwa kumini. Kwa nini chama chetu...
Prof. Shivji niliyemsikia wakati wa mjadala wa katiba umepamba moto kwenye vipindi vya ITV sio yule niliyemwona na hoja yake ya jana.nauliza nini kimemsibu?.
Wananchi wa Tanzania na viongozi wa chama chetu ccm ni wengi lakini Wa Tanzania ni wachache.hongera Kangi Lugora hongera Deo Filikunjombe kuwa alama ya ccm ya mwl Nyerere na kuitetea Tanzania.nifikishieni pongezi hizi na salamu hizi kwao maana tunaelekea kukata tamaa tuonapo poropoganda hata...
Nikikumbuka kesi iliyotengenezwa na kuitwa ya ugaidi wa rwakatale na chadema na mhusika mkuu mwenye ushaidi wa kuutoa popote atakapohitajika tena kwa kusisitiza iwe mbinguni na duniani na huyo kapewa tuzo miongoni mwa wateule.tutegemee mengi tunapoelekea uchaguzi mkuu
Tusitegemee la maana.ushabeki wa kipuuzi utaliangamiza taifa.tusubili hoja ya imani za dini hapo ndipo taifa litagawanyika vipande kwa kupuuzi wa kufanya maamuzi uliopitishwa
Kira mtu aende kufanya kazi zake za kujiongezea kipato.mjadala unakoelekea hakuna nia njema kwa walio wengi walioko bungeni.wanaopinga serikali tatu kuwa itaongeza garama mbona kila siku nchini hapa tanzania kila kukicha wanaongeza vitongoji.vijiji.kata.mitaa.tarafa.wilaya.na mikoa.? Rakini...
Tumekwisha.maamuzi ya leo ya kuamua kupiga kula mbili kuamua masuara nyeti ya taifa yamelidharaulisha na kulidhalilisha na kulifedhehesha bunge na taifa kiujumla.yamedhalilisha wabunge wote hata no 6 aliyejitapa kwa kasi na viwango ni ziro.matumaini yametuishia watu wenye dhamana ya kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.