Mtazamo Wangu: Deo Filikunjombe ni mjasiri.

Mtazamo Wangu: Deo Filikunjombe ni mjasiri.

- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz

Le Mutuz nakuomba utumie akili muda mwingine na sio kupelekwa kama Ng'ombe asiejua anaenda wapi bali anamuamn anaemuongza altho muda mwngne anapelekwa kuchinjwa bila kujijua.
 
Tumekwisha.maamuzi ya leo ya kuamua kupiga kula mbili kuamua masuara nyeti ya taifa yamelidharaulisha na kulidhalilisha na kulifedhehesha bunge na taifa kiujumla.yamedhalilisha wabunge wote hata no 6 aliyejitapa kwa kasi na viwango ni ziro.matumaini yametuishia watu wenye dhamana ya kushindwa kuamua jambo dogo na la wazi kuhusu jinsi ya kufikia uamuzi tusitegemee la maana
Haya ni majanga katika Taifa.
 
Hii tabia ya kutumia lugha ya matusi ukweli inanikera sana. W. J. Malecela amechangia mada kama mwana JF mwingine yeyote yule, sasa kwanini watu wengine wanaanza kumtukana na kumuita majina ya ajabu ajabu?.

Wewe ukifanyiwa hivyo utapenda?. Mnamchukia kwa ajili ya jina la baba yake ama kuna lingine lolote?.

Nimefuatilia sana na kuona kila maada atakayoanzisha ama kuchangia basi kuna mijitu inakurupuka toka huko itokako na kuanza kumporomoshea matusi bila sababu ya msingi.

Jamani tubadilike, hapa ni sehemu ya kuelimishana na kufundishana kwa njia ya ustaarabu na upendo.

Soma maada na changia kwa hoja wala si kwa matusi na kashfa.
 
Le Mutuz nakuomba utumie akili muda mwingine na sio kupelekwa kama Ng'ombe asiejua anaenda wapi bali anamuamn anaemuongza altho muda mwngne anapelekwa kuchinjwa bila kujijua.

Muulize kule mvumi kwao pakoje mpaka leo,tangia enzi hizo za baba yake.......
 
Dah kweli aisee hii ishi ya ze utamu na Le Mutuz nilikuwa sijawahi kujua kama anahusika ila nimeunganisha dots hapa nimekubali...Kweli JF kwa great thinkers
 
Acheni kunadi watu msimamo upi alionao filikunjombe wanasiasa Ni wanafiki kama unavyoona movie za kivita wale hawafi kweli wanaact na hata wanasiasa Ni hivyo hivyo
 
- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz

Duuh...hii statement ya CCM ina wenyewe itamfanya mkuu agombee CCM kwa nguvu zote. A food of thought for other aspirants as well
 
Pamoja na kwamba mimi na CCM ni kama Moshi na Pua, lakini kuna mbunge mmoja wa CCM ambaye taratibu ninajikuta nikianza kumkubali. Huyu si mwingine ila ni Mbunge wa Ludewa Mh. Deo Filikunjombe. Mheshimiwa huyu amekuwa mjasiri kusimamia kile anachoamini kuwa ni sahihi hata kama ni tofauti na msimamo wa chama chake. Kwakweli anajiamini na wala haogopi vitisho na mashinikizo ya chama chake. Nakumbuka kwamba yeye ni mmoja wa wabunge waliotia sahihi wakati Mh. Zitto alipokuwa anatafuta sahihi za wabunge ili kumwajibisha Waziri mkuu. Leo hii pia amepiga kura ya wazi kupinga azimio la "kura za siri na za wazi". Ametamka neno "Hapana" kuonyesha hakubaliani na msimamo huo japo ndio wa chama chake kwa sasa. Mimi ninaamini kama wana-CCM wote wangekuwa kama huyu bwana basi tungekuwa na serikali murua. Hongera Mheshimiwa Deo Filikunjombe.


Ndio maana mmepoteza dira kwa kushabikia wanasiasa watafuta sifa badala ya wajenga hoja...

poor you!
 
- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz

Hivi ni lini we kijeba utaacha akili za kitoto?? Hata siku moja sijawahi kusoma jambo la kiutu uzima lililoandikwa na wewe.

Jiheshimu bhana we ushakuwa zee zima kha...
 
Acha uongo wewe kubwa jinga, mimi ni wa Ludewa hakuna habari kama hiyo Ludewa.

Wewe siyo wa Ludewa, wote wanajua kuna Naibu waziri tena mwanamke, ameshatia mguu watu wote wa Ludewa wanajua, hata Deo mwenyewe anajua hii kitu.
 
- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz
images.jpg IMG_8713.JPG Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwa na mama yake mzazi katika usafiri wa punda waka.jpg saini-ya-kutokuwa-na-imani-na-Pinda.jpg

Pindi Chana atauweza kuucheza muziki wa Filikunjombe?


237.jpg TEMEKE WAZAZI LEO 036.JPG pindi chana.jpg

Unafikiri PINDI CHANA ana ubavu wa kushindana na DEOGRATIAS FILIKUNJOMBE HAULE? Unaota ndoto za mchana kweupe ambazo ni sawa na fikra za kuwazika zisizotekelezeka. Hana ubavu Pindi Chana kwa Filikunjombe.

Habari za uhakika kutoka Jimbo la uchaguzi Ludewa zinasema Filikunjombe ni Mbunge pekee ambaye ameonekana kukubalika katika jimbo lote la uchaguzi tofauti na siku za nyuma ambapo kulikuwa na ushindan kati ya makabila makubwa mawili ndani ya Jimbo hilo ambalo ni Wapangwa na Wakisi/Wamanda. Filikunjombe amewaunganisha wote na wanamwona kama baba yao na kipenzi cha na kuwa karibu nao.

Katika moja ya pongezi alipokokotwa na punda wananchi wa vyama vyote vya siasa walimkubali na kumpokea kama Mbunge wao, hali kadhalika wananchi walisema kama CCM hawamtaki watamfuata kokote atakakojiunga kugombea kupitia chama cho chote cha Siasa.

Yakhe, katika suala hilo ongelea ukweli badala ya ushabiki na fikra za kudhania na kufikirika zisizowezekana. Wananchi wanachagua mtu si chama wakishamfahamu vema, ndio maana Mrema yule mzee wa Kiraracha anazidi kuitesa CCM hadi katika uzee wake hakuna wakuweza kumpiku.

CC
Rich Pol
 
- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz

Chadema au ACT?,Karibu ACT deo
 
The only thing to trust from what a politician says is his name!
Wakati mwingine hata jina lao inabidi ukaliangalie kwenye makabrasha ya kisheria kama ni jina la ukweli!.

Watanzania wengi ni wepesi sana wa kuamini, na hii ndiyo inawasumbua katika maamuzi yao ya kisiasa ya sasa na baadaye.

Kwa mfano siyo siku nyingi wengi wao walikuwa hapa Jf wakitoa sifa nyingi kwa Mh. Sitta na wakitaka kwa nguvu zote awe Mwenyekiti wa bunge la Katiba. Hata week moja haijapita, hao hao kwa sasa wanataka aondoke kwa vile ameshindwa kazi waliyokuwa wanadhani anaweza. This is hilarious.

Huyu huyu wanae msema ni jembe kesho utawasikia hawa hawa wakimsema ni pandikizi la kisiasa.

Kwangu mimi sijaona ujasiri wowote wa huyu Mbunge zaidi ya kufanya maamuzi ya kawaida kabisa katika siasa.
 
Wakati mwingine hata jina lao inabidi ukaliangalie kwenye makabrasha ya kisheria kama ni jina la ukweli!.

Watanzania wengi ni wepesi sana wa kuamini, na hii ndiyo inawasumbua katika maamuzi yao ya kisiasa ya sasa na baadaye.

Kwa mfano siyo siku nyingi wengi wao walikuwa hapa Jf wakitoa sifa nyingi kwa Mh. Sitta na wakitaka kwa nguvu zote awe Mwenyekiti wa bunge la Katiba. Hata week moja haijapita, hao hao kwa sasa wanataka aondoke kwa vile ameshindwa kazi waliyokuwa wanadhani anaweza. This is hilarious.

Huyu huyu wanae msema ni jembe kesho utawasikia hawa hawa wakimsema ni pandikizi la kisiasa.

Kwangu mimi sijaona ujasiri wowote wa huyu Mbunge zaidi ya kufanya maamuzi ya kawaida kabisa katika siasa.

cc Maishamapya
 
Last edited by a moderator:
- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz

CCM ina wenyewe?????????????????????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!leo sababu ya wewe kushindwa kinyang'anyiro cha Ubunge wa A.Mashariki,pia kushindwa John nafasi ya ubunge Mtera na pale aliposhindwa Urais
 
- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz
Mkuu, kwa katiba hii mpya inayokuja, 2015 kutakuwa hakuna ukiritimba wa vyama vya siasa tena hasa katika nafasi za udiwani na ubunge.

Ninafahamu kwenye nafasi ya Rais itakuwa ni ngumu kidogo kushinda bila kutegemea mkono wa chama lakini kwenye Udiwani na Ubunge itakuwa mtaji ni jina lako na wananchi badala ya chama. Vyama ndiyo vitakuwa vinabembeleza wagombea wake!.

Mwanasiasa anaejielewa wala hana wasiwasi na mchakato ndani ya chama katika kuwapata wagombea udiwani na Ubunge.

Kundi linalohofu nguvu ya vyama kwa sasa ni kundi la wawania Urais pekee.
 
- Jimbo lake huenda likagombewa na Waziri mmoja wa sasa na anajua kuwa nafasi yake kumshinda ni ndogo sana kwa hiyo huenda anajitayarisha kuhamia Chadema, inaeleweka sana yeye na mwenzake mmoja walipioga kura sawa lakini CCM ni chama kubwa wameikuta na wataiacha kama ilivyo, CCM ina wenyewe!!

Le Mutuz

Watu wa Ludewa ni tofauti na wagogo wa mtera kwani wengi wao wamejitambua na wanaelewa kuwa Deo ndio muwakilishi wao!! Huyo unayemsema kuwa ni waziri anayetaka kugombea jimbo la Ludewa hawezi kumshinda kwani baba yake ni singa singa hivyo hakubaliki na wana Ludewa!!!
 
Back
Top Bottom